tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,115
Sijui ni nani mshauri wa CCM kwa sasa juu ya siasa hii mpya ya kununua wapinzani na kutangaza uchaguz mpya.Yaani nianze kwa kusema mshauri wao anajichanganya sana tena sana.
Binafsi nimefanya tathimini na kugundua ni hasara kwa CCM kuliko upinzani. Yaan ni faida kwa upinzani hata kama ushindi watapata CCM. Sababu ni nyingi mnooo zinazo wapa upinzani faida kubwa katika chaguzi hizi ndogo.
Hebu fatilieni yaliojitokeza katika majimbo na hata kata za madiwani , ni wazi imekuwa ni faida kwa upinzani kuweka ushahid dhahiri CCM ilivyochokwa na kutokukubalika kwa wananchi.Pia imekua ni mlango mwingine uliofunguliwa kwa wapinzani kuutumia kutoa siasa zao. Yaani imekua kete muhimu ya kumwaga yale yaliyokuwa yamekusudiwa yazuiwe hadi 2020. Huwezi kukataza siasa had 2020 harafu unanunua wapinzani na kuitisha chaguz huku wale wale uliowalenga kuwaziba mdomo ukiwafungulia mlango mwingine. Ndio maana nasema mshauri wa magufuli anajichanganya!!
Tuwe wawaz na wakweli wote tuko dunian na hapa hapa tanzania. Yaan CCM wanatumia nguvu kubwa mnoo kupata wahudhuliaji katika mikutano yao huku upinzani wanajazana wenyewe bila kubebwa na mtu. Pasipo hata kubebwa bado upinzani umekuwa na wafuasi wengi huku CCM wakiwa wachache mnoo na wengi wao wakiwa wanachama. Kiukweli mmezidi kujianika mmechokwa.
Kingine, unaanzaje kufanya uchaguzi kama hapa mjini Dar pana kila aina ya watu wenye nyadhifa mbali mbali za kimataifa na kuwa rahisi kwao kupata picha halisi ya uongozi wako? Yaani wanaona kila kitu jinsi polisi wanavyowatesa wananchi huku ninyi mkijiita ni waungwana namba moja.
Naishia kwa kusema mmejichora mnoooo!!
Ni kweli mtashinda lakn mmewapa kete viongozi wa upinzani kwann hapo awali waligomea chaguzi ndogo na hata kwa maamuzi mengine watakayoyatoa siku za mbele kwa wananchi wataaminiwa asilimia zote!
Kiujumla mmejipambanua ninyi ni wahovyo kiwango cha juu sana kwa sasa.Na hilo hata wale waliokuwa hawayaamini maneno ya wapinzani sasa mmewapa kete wawaamini. Yaani mnaipeleka nchi shimoni na ikija kutoka huko ninyi mtasahaulika.
Yaani kwa ufupi faida kubwa waliopata wapinzani katika chaguzi hizi ndogo ni kuwaanika ninyi uchi jinsi mnavyotawala hovyo hovyo katika nchi yenye kufata democracy. Huku ninyi mkitumia udikteta. Nunueni mwingine mtoe nafasi ya kuwaanika maovu yenu mliokuwa mmekusudia kuyaficha hadi 2020.
Binafsi nimefanya tathimini na kugundua ni hasara kwa CCM kuliko upinzani. Yaan ni faida kwa upinzani hata kama ushindi watapata CCM. Sababu ni nyingi mnooo zinazo wapa upinzani faida kubwa katika chaguzi hizi ndogo.
Hebu fatilieni yaliojitokeza katika majimbo na hata kata za madiwani , ni wazi imekuwa ni faida kwa upinzani kuweka ushahid dhahiri CCM ilivyochokwa na kutokukubalika kwa wananchi.Pia imekua ni mlango mwingine uliofunguliwa kwa wapinzani kuutumia kutoa siasa zao. Yaani imekua kete muhimu ya kumwaga yale yaliyokuwa yamekusudiwa yazuiwe hadi 2020. Huwezi kukataza siasa had 2020 harafu unanunua wapinzani na kuitisha chaguz huku wale wale uliowalenga kuwaziba mdomo ukiwafungulia mlango mwingine. Ndio maana nasema mshauri wa magufuli anajichanganya!!
Tuwe wawaz na wakweli wote tuko dunian na hapa hapa tanzania. Yaan CCM wanatumia nguvu kubwa mnoo kupata wahudhuliaji katika mikutano yao huku upinzani wanajazana wenyewe bila kubebwa na mtu. Pasipo hata kubebwa bado upinzani umekuwa na wafuasi wengi huku CCM wakiwa wachache mnoo na wengi wao wakiwa wanachama. Kiukweli mmezidi kujianika mmechokwa.
Kingine, unaanzaje kufanya uchaguzi kama hapa mjini Dar pana kila aina ya watu wenye nyadhifa mbali mbali za kimataifa na kuwa rahisi kwao kupata picha halisi ya uongozi wako? Yaani wanaona kila kitu jinsi polisi wanavyowatesa wananchi huku ninyi mkijiita ni waungwana namba moja.
Naishia kwa kusema mmejichora mnoooo!!
Ni kweli mtashinda lakn mmewapa kete viongozi wa upinzani kwann hapo awali waligomea chaguzi ndogo na hata kwa maamuzi mengine watakayoyatoa siku za mbele kwa wananchi wataaminiwa asilimia zote!
Kiujumla mmejipambanua ninyi ni wahovyo kiwango cha juu sana kwa sasa.Na hilo hata wale waliokuwa hawayaamini maneno ya wapinzani sasa mmewapa kete wawaamini. Yaani mnaipeleka nchi shimoni na ikija kutoka huko ninyi mtasahaulika.
Yaani kwa ufupi faida kubwa waliopata wapinzani katika chaguzi hizi ndogo ni kuwaanika ninyi uchi jinsi mnavyotawala hovyo hovyo katika nchi yenye kufata democracy. Huku ninyi mkitumia udikteta. Nunueni mwingine mtoe nafasi ya kuwaanika maovu yenu mliokuwa mmekusudia kuyaficha hadi 2020.