Faida na hasara ya kufunga ndoa na jini

Faida na hasara ya kufunga ndoa na jini

Majini, mathematics, mapepo wote hao ni wa kuzimu hakuna jini mzuri wote mawakala wa kuzimu, pamoja na washirika wao na wale wanaotafuta, wanaooa, wanaoolewa na hao majini na pia wanaowatumainia majini wote hao ni jehanamu ya milele
 
Uzuri wa jini nae anamwogopa binadamu Ila sisi tunabaki kua bora kuliko wao Ila hatujitambui vzuri,,,ngoja nilale kwanza kesho anaetaka jini nitampa njia rahis ya kumwita bila makorokoro mengiiiiii,fasta tu anakuja na aina unayotaka,Ila usimkorofishe
 
unafunga ndoa na kitu kisichoonekana, kama si ufinyu & ufukara wa fikra ni nini sasa!!
 
Client nakuomba ukimuona yeyote kati yao mwambi niko hapa nahitaji msaada kwenye tuta. Matairi yote Pancha!!!
 
Kupitia uzi huu nimejifunza kuwa binadamu hatujui uwezo wetu tulio nao wa kiroho na wa kibinadamu, hao majini na malaika wa Mungu wanautamani uwezo tuliopewa na MUNGU. Na kisa cha kuja kwetu nikuvuna ule uwezo wetu iliwautumie kufanya mambo yao. Kwenye mfumo wa utawala wa ufalme wa MUNGU baada ya MUNGU ni Binadaamu na then Malaika na then hao pepo na majini wanaosifiwa. Pepo au jini akija kwako amewini kapata kitu haswaaa yaani kapata kitu daraja la juu sanaa kuliko uwezo wao, wewe ukimpate pepo umepotezaaa mbaya mnoo.

Kutofahamu kunawapa kwa wanadamu na kufahamu kwa Majini kunawapa advantage over binadamu, cha msingi kabla hujafikiri kuoa jini tafuta wenye maarifa wakwambie na wakufundishe kujua kweli ya Mungu na hutatamani tene kufuatafuata hao majini kwenye maisha yako yote.

fikiria haya.
1Ukioa Jini hakuna kuachana ukimuacha anakulipa kifo au madhara mbalimbali.hakuna kuacha urithi wa kizazi wala mali
2. ukipata mali naye lazima hiyo mali iondoke na watu wako au wewe mwenyewe, na nirahisi tu kuipoteza kama ukimkorofisha. lakini Mungu sio hivyo
3. majini hawana uvumilivu wa samahani lazima upate adhabu, Mungu anavumila na anakubali msamaha na tena bure bila adhabu.
3.Ufalme wa Mungu ni wa milele ufalme wa shetani hata kama alikupa mapenzi na kukubeba na kukuogesha kila siku wewe na mimali mingiii siku ukifa ni motoni maana naye anasubiri moto.
 
Wapo hao weng sana mi ninae mmoja asli ya kiharabu anitwa zaujathi hint mablucki ana nisaidia sana hub mwaka Wa 8 namiliki vtu vyake vngi ikiwa A/c yake ya ujinini inayo niwezesha kupata pesa ambzo unatumia kwa kupangiwa,(kabla ujafa.......?)
Umeshawahi kuwaza siku mkiachana itakuwaje, jaribu kuumuuliza siku moja anamjua Yesu? na je kama mali napesa vyote ni vyake wewe chako nikipi? Na umewahi kumuuliza ukifa utakwenda mbinguni/Rahani au motoni/matesoni na wewe mwenyewe hunahofu na hayo?
 
Mkuu xav bero utanitag mkuu, ukinisahau utakuwa haupo fair kabisa yn, kwanza ni uchoyo.
Unajua wengi wamezoea kuhoji au kuongea kitu Aidha kwa kusikia na wanakuja kuleta hoja msio na uzefu nazo,,

Kuna njia nyingi za kuita hawa viumbe,Ila uwe unaamini kabsa kua viumbe wenyewe wapo,maana kama huamin cchote ckushauri ufanye hili maana utakua unabishana na hali halisi mwsho utaumia.

Moja ya njia nyepes kabsa na rahis kumwita jini ni hii.- chukia kitambaa cheupe ngalau nusu mita,na UDI aina ya flora,,nenda mpka baharini FUNGUNI,nadhan wengi mnaelewa nikisema (funguni)kaa uchome UDI wako then umwite,,jinsi ya kumwita,unasalimu asalam allekum mara tatu,then wakati UDI unawaka unasema mm fulan,nahitaji kuonana na jini kwa aman kabsa na naomba akija aje ktk sura ya kibinadamu bila vitisho au sauti kubwa itakayoniogopesha nataka kujenga nae urafiki,,naomba naomba aje(unataja mwanaume/mwanamke)kwa amani sababu mm ni MTU mwema...

Then unachukua mchanga wa pale funguni unauweka kwenye kile kitambaa cheupe unaondoka. Ukifika geto unauweka sehem salama halaf unachomeka tena udi unawsha,,kila siku kwa muda wa Siku 7 unarudia maneno Yale Yale uiyotamka kule baharini. Zikifika siku ya saba unaenda kuumwaga baharin sehem yyte hata coco beach. Then unarud pale unawasha UDI unasema maneno Yale dakika moja nyingi atatokea.. Mnaongea yenu kama ni suala LA mkwanja mkikubaliana atakua anakuletea pale pale ulipokua unauhifadhi ule mchanga nyumban.

Masharti.. Hapa ndio panawashinda wngi,utakua tajiri tena sana tu Ila ukimkosea lazma akuadhibu,au ukimcheleweshea zawad zake hana huruma sana,,hata akikusamehe lazma akupe kibano kidogo,sio kukusamehe bure bure.. Na sharti kubwa linakua kutotoka nje ya mahusiano,kama una mume/mke mmoja usithubutu kutoka nje maana huna ujanja wa kumwongopea.

Hawa watakakuja ni wale majin wenye nguvu za wastani,, Ila ukitaka Kuwaita wale wakubwa inakuchukua siku arobaini,na hawa hawana masharti magumu sana Ila nitakuelezeen baadae,naenda kulewa kwanza mana mvua inapiga sana kwetu leo.
 
Back
Top Bottom