bila shaka mko poa!!
Jamani lazima tukubali kuwa sekta ya ngono sasa haikamatiki kwa mabalaa mfano kusalitiana,kufirisika ,kondom feki n.k pia ukiuvaa kuna arv feki, kutokana na mabalaa yanayoikumba sekta ya ngono kwa kipindi hiki nimeona kuna umuhimu wa kukumbushana faida za nyeto...bila shaka wazee wa chawaputa wananipata vizuri.
Faida za punyeto
- inakuepusha dhidi ya presha za mapenzi!
- inakufanya ukidhi haja zako!
- inaepusha kupata ukimwi na magonjwa ya zinaa 100%
- inaleta maendeleo indirect,kwani hutapoteza pesa!
- inakupa uhuru ktk kukidhi haja zako!
- kutokana na ubize, inakuepusha kuwaza mambo mabaya!
- inakuepusha dhidi ya mimba zisizotarajiwa
- indirect inapumguza watoto wa mitaani na umaskini kwa ujumla!
- inakuepusha dhidi ya mafumanizi na maumivu ya mapenzi!
- inakupa raha!
hizo ni moja ya faida nyingi za punyeto, hivyo ni wakati wako wewe kama kijana kuchagua heri au balaa!