Faida 10 za kupiga punyeto!!

Faida 10 za kupiga punyeto!!

Hii ni baina ya vitu vibaya kabisa na vyenye madhara makubwa, Moja ya madhara yake ni kwamba unalegeza misuli ya uume na ukifsnya hii kitu kwa muda mrefu uume utashindwa kusimama kabisa.
Asikudanganye mtu, ukiachana na madhara ya kisaikolojia, matokeo ya muda mrefu ya kitendo hiki ni uhanithi(impotence).

Kutumia kondomu si ni sawa tu na puli ya kutumia K ya bandia yaani fleshlight.
 
Hii ni baina ya vitu vibaya kabisa na vyenye madhara makubwa, Moja ya madhara yake ni kwamba unalegeza misuli ya uume na ukifsnya hii kitu kwa muda mrefu uume utashindwa kusimama kabisa.
Asikudanganye mtu, ukiachana na madhara ya kisaikolojia, matokeo ya muda mrefu ya kitendo hiki ni uhanithi(impotence).

Lakini wanazuoni wa mashirika yasio ya kiserikali ya CHEZA SALAMA na SPW wanasema kiafya punyeto haina madhara wala haisababishi uhanithi kama wanavyodai waganga wa kienyeji. Na faida zake kiafya na kihisia ndio kama walizotaja waliotangulia i.e. kiuchumi ni cheap, kiafya inaepusha maambukizi, kidemografia inapunguza watoto wa mitaani, kifamilia inapunguza ugomvi wa kufumaniana, kihisia inawawezesha wanaume, kwa mfano, kuzini na demu yeyote hata supa-sta au mke wa kiongozi wa nchi kwa kumtazama tu na kumvutia hisia bila kukamatwa ugoni (ingawa Maandiko yanawaonya wanadamu hivi:- "lakini mimi nawaambia, kila mtu amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake." Mathayo 5:28)
 
Kuna watu wanadai kufanya ngono au kungonoka kwa kutumia kondomu hakuna tofauti na kupiga punyeto kwa sababu tayari kile kiungo kilichovalishwa ndomu kimekuwa bandia kama ni mb. imekuwa sawa na test tube au aina nyingine yoyote ya dido, na kama kondomu imefukiwa (maana haivalishwi), ndani ya k basi k imekuwa sawa na shimo lingine lolote tu iwe ni kwenye godoro, mto au aina nyingine yoyote ya fleshlight.
 
Jambo lolote ambalo mungu kakataza jua linamadhara makubwa hata km wataalamu wa dunia watasema linafaida,makatazo ya mungu ndo dira na salama ya afya zetu, akili na roho
 
Jambo lolote ambalo mungu kakataza jua linamadhara makubwa hata km wataalamu wa dunia watasema linafaida,makatazo ya mungu ndo dira na salama ya afya zetu, akili na roho

Kama wanadamu wangefuata makatazo kama uzinzi, wizi, tamaa, ulevi, punyeto, mitala, ulaji wa nguruwe na ngamia, n.k. hakika dunia ingekuwa paradiso.
 
Mimi nikipiga punyeto hamu haiishi, naweza kupiga siku nzima ila demu nikipiga vinne natosheka kabisa na hamu inaisha.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kama umeshafikia stage hii basi unaelekea kwenye danger zone.
Unaelekea kuharibikiwa zaidi na katika kasi ya hatari sana.
Endelea kaka
 
Duh jmn n juz tu nlikua na boyfrnd kwa miaka mi3 juz tukaenda kukutana tena hotel ya kifahar lakn nashangaa mwenzangu haikusimama kbsa nmefanya kla niwezalo but haikusimama jmn nlishangaa maajabu ya dunia kiukweli nimemuacha mm.
 
ImageUploadedByJamiiForums1469743781.464783.jpg
 
Back
Top Bottom