Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Nipatie namba yako ya whatsap nikutumie hapa nashindwa kuwekaHiki kitabu nakitafuta sana Google lakini nashindwa kukidownload,msaada plz wa soft copy kama utakuwa nacho
Nipatie namba yako ya whatsap nikutumie hapa nashindwa kuwekaHiki kitabu nakitafuta sana Google lakini nashindwa kukidownload,msaada plz wa soft copy kama utakuwa nacho
Nashukur mkuu,nmejaribu kukitafuta kwenye Google ya opera mini nimekipata. Si kina page 114?Nipatie namba yako ya whatsap nikutumie hapa nashindwa kuweka
Aisee mbna hajajib hili swali ili na mie niondoke na ktu hapa.. em jibu tu mkuuUkikopa hela bank inaitwa mkopo ukienda kuufanyia biashara inaitwa mtaji ila all in all zote ni fedha.
Financial obligation zote unazotakiwa kuzilipa ni liability lakini unacholipa ni expenses. Hoja yangu ni kwamba kwanini unachanganya liability & expenses??
Naomba nisaidie kutofautisha expenses and liability na muingiliano wake.
Aisee mbna hajajib hili swali ili na mie niondoke na ktu hapa.. em jibu tu mkuu
Bahili kwenye uchumi huwa haendelei na uchumi haushauri ubahili.
Kuna tofauti kati ya bahili na mchumi.
Nadhani wewe unatamani kuwa mchumi.
mtu bahili ni yule anaetumia kiasi kidogo tofauti na kile anachozalisha kufanikiwa ama kutofanikiwa sana itategemea kama ana elimu juu ya somo la pesa sijui wewe ulikuwa unataka kutoa ufafanuzi upi
mtu bahili ni yule anaetumia kiasi kidogo tofauti na kile anachozalisha kufanikiwa ama kutofanikiwa sana itategemea kama ana elimu juu ya somo la pesa sijui wewe ulikuwa unataka kutoa ufafanuzi upi
Karibu mkuuGOOD
Una hoja nzuri, ila uliposema "not all assets can be investments"hapa ulimaanisha ninj?je hizi sio liabilities?wewe mnaona unashindwa kutofautisha kati investments na assets mkuu, kama hujasoma hata accounts jifunzie hata mtandaoni unufaike
Assets ni mali yoyote unayomiliki inayoweza kupimwa kwa fedha..mfano nyumba, simu, tv, gari lako binafsi, gari la biashara n.k
Kila investiment ni asset ila sio kila asset ni investment
Liability ni madeni unayodaiwa unayotakiwa ulipe... mfano kama bill za maji ambazo unadaiwa, mkopo wa benk, mkopo wa rafiki pengine, mishahara ya wafanyakazi wako ambayo hujalipa n.k
Hizo definition ulizotoa hapo ni za mtaani sio za kiuchumi au kihasibu... kwa hiyo hao unaowaona hawapo sahihi ndio walio sahihi as far as accounting is concerned
assets definition and meaning | AccountingCoach
Yuko sahihi all expenses are liabilityNa wewe unachanganya liability na EXPENSES.
Not all assets are investment but all investment are assets.Tofautisha kati ya investment na Assets, sio kila kilichoandikwa kwenye Rich dad, Poor dad ni mstari kutoka kwenye msahafu usioweza kubadilishwa!
Investment ni kitega uchumi cha kuingiza pesa na Asset ni kitu Chako unachoweza kubadilisha kikawa pesa ukafanyia kazi nyingine. Thanks 4 sharing anyway.
Sawa lakini si kila mchepuko ni liability mingine ni asset hivyo usikariri elewa hoja.Japo mfano wako umerahisisha sana kwa vilaza kuelewa haraka.Asset = Ajira (mshahara)
Liability = Mchepuko...