Namna ipo, ni kuwasema kwa maneno hadi wazimie au waombe radhi, mbona Jaffo alishamsema mtu hadi akataka kupoteza networkNdo Bongo yetu hii hakuna namna
Kuna huyu mbunge Lusinde, amemsasambua Sospiere live bungeni, tuendelee kumsema na kumuaibisha huyo mbezaji wa bwawa la Rufiji hadi akimbia nchi au aombe radhi, asiachwe wala kupewa nafasi ya kupumua hapo bungeni, asemwe na asemwe, bila kumsahau ndugu gai🤣🤣🤣 Ngoja wasemaji wafanye kazi
Mkuu amka bn Hadi tukumwagie maji kichwani..Serikali ya Kenya ilimtuma waziri wake wa mambo ya nje juzi kuja kuomba mkopo wa shilingi trillion tatu.
Waziri wetu wa fedha alisema watawapa huo mkopo kwa madharti nafuu sana.
Wakati huo huo serikali ya Tanzania imetoa msaada wa shilingi bilioni Saba kwa saccos za wajasiriamali nchini Israel. Waziri mkuu wa Israel ameishukuru serikali ya Tanzania na kutuhakikishia atadumisha utafiki uliopo Kati ya serikali hizi mbili.
Majaliwa tokea adanganye umma wa Watanzania kuwa Magufuli ni mzima wa Afya na anachapa kazi, hana credibility tena kwa uma wa Watanzania.He is hopeless liar!
Wapi nimemzungumzia Mama?Mimi namzungumzia Waziri mkuu.Kwani mama aliongea nini Tanga
Mkuu kwahiyo wewe ni mjuvi kumliko CAG? Tumwamini nani kati yako na CAG? ,na wewe una ofisi ya ukaguzi wa mahesabu ya serikali!?White
Huu mradi una upigaji mkubwa sana, aluchokielezea CAG ni kapunje kadogo mno
Mbona ulipoambiwa reli imekamilika kwa asilimia tisini ulikaa kwa kutulia?tuliambiawa reli ya Moro itaisha 2019 Leo Ni 2021 bado tu Ni asilimia 90; hushangaiMkuu amka bn Hadi tukumwagie maji kichwani..
Usingizi gani huo mzito Hadi unaota ndoto za mwaka 3,000
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅Serikali ya Kenya ilimtuma waziri wake wa mambo ya nje juzi kuja kuomba mkopo wa shilingi trillion tatu.
Waziri wetu wa fedha alisema watawapa huo mkopo kwa madharti nafuu sana.
Wakati huo huo serikali ya Tanzania imetoa msaada wa shilingi bilioni Saba kwa saccos za wajasiriamali nchini Israel. Waziri mkuu wa Israel ameishukuru serikali ya Tanzania na kutuhakikishia atadumisha utafiki uliopo Kati ya serikali hizi mbili.
Dah hii nchi bhanaKuna huyu mbunge Lusinde, amemsasambua Sospiere live bungeni, tuendelee kumsema na kumuaibisha huyo mbezaji wa bwawa la Rufiji hadi akimbia nchi au aombe radhi, asiachwe wala kupewa nafasi ya kupumua hapo bungeni, asemwe na asemwe, bila kumsahau ndugu gai
Haaminiki tena,he is hopeless liar.Kwahiyo haaminiki tena kumbe
Dah noma kweli kweli aisee.Wangetumia only 2 trillions kuboresha TRC na tazara wangekuwa wametumia akili kubwa sana
Tatizo Jiwe laanatullah aliona akiboresha trc hatapata sifa .
Ni heri ameshavunwa yule mtu katili na fisadi