Fahamu ujenzi wa SGR unavyoendelea

Ndio ujue kuna watu ni wendawazimu nchi hii, hata Magufuli alishasema mbona, ni walevi na mataahira. Ujenge Bagamoyo halafu SGR inafanya kazi gani, itabeba nini toka Dar port?
Ndo Bongo yetu hii hakuna namna
 
🤣🤣🤣 Ngoja wasemaji wafanye kazi
Kuna huyu mbunge Lusinde, amemsasambua Sospiere live bungeni, tuendelee kumsema na kumuaibisha huyo mbezaji wa bwawa la Rufiji hadi akimbia nchi au aombe radhi, asiachwe wala kupewa nafasi ya kupumua hapo bungeni, asemwe na asemwe, bila kumsahau ndugu gai
 
Serikali ya Kenya ilimtuma waziri wake wa mambo ya nje juzi kuja kuomba mkopo wa shilingi trillion tatu.
Waziri wetu wa fedha alisema watawapa huo mkopo kwa madharti nafuu sana.

Wakati huo huo serikali ya Tanzania imetoa msaada wa shilingi bilioni Saba kwa saccos za wajasiriamali nchini Israel. Waziri mkuu wa Israel ameishukuru serikali ya Tanzania na kutuhakikishia atadumisha utafiki uliopo Kati ya serikali hizi mbili.
Mkuu amka bn Hadi tukumwagie maji kichwani..
Usingizi gani huo mzito Hadi unaota ndoto za mwaka 3,000

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Naona tu upigaji huwezi kuniambia eti toka mwaka jana hadi mwaka huu wametumia si zaidi ya bilion 600 tena kipande cha sijui kaliua mpaka isaka zinatakiwa tilion 3,,, duuuu
 
Majaliwa tokea adanganye umma wa Watanzania kuwa Magufuli ni mzima wa Afya na anachapa kazi, hana credibility tena kwa uma wa Watanzania.He is hopeless liar!
 
White
Huu mradi una upigaji mkubwa sana, aluchokielezea CAG ni kapunje kadogo mno
Mkuu kwahiyo wewe ni mjuvi kumliko CAG? Tumwamini nani kati yako na CAG? ,na wewe una ofisi ya ukaguzi wa mahesabu ya serikali!?
 
Serikali ya Kenya ilimtuma waziri wake wa mambo ya nje juzi kuja kuomba mkopo wa shilingi trillion tatu.
Waziri wetu wa fedha alisema watawapa huo mkopo kwa madharti nafuu sana.

Wakati huo huo serikali ya Tanzania imetoa msaada wa shilingi bilioni Saba kwa saccos za wajasiriamali nchini Israel. Waziri mkuu wa Israel ameishukuru serikali ya Tanzania na kutuhakikishia atadumisha utafiki uliopo Kati ya serikali hizi mbili.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅
 
Kuna huyu mbunge Lusinde, amemsasambua Sospiere live bungeni, tuendelee kumsema na kumuaibisha huyo mbezaji wa bwawa la Rufiji hadi akimbia nchi au aombe radhi, asiachwe wala kupewa nafasi ya kupumua hapo bungeni, asemwe na asemwe, bila kumsahau ndugu gai
Dah hii nchi bhana
 
Naona tu upigaji huwezi kuniambia eti toka mwaka jana hadi mwaka huu wametumia si zaidi ya bilion 600 tena kipande cha sijui kaliua mpaka isaka zinatakiwa tilion 3,,, duuuu
Ndo nchi yetu mkuu
 
Wangetumia only 2 trillions kuboresha TRC na tazara wangekuwa wametumia akili kubwa sana
Tatizo Jiwe laanatullah aliona akiboresha trc hatapata sifa .
Ni heri ameshavunwa yule mtu katili na fisadi
 
Wangetumia only 2 trillions kuboresha TRC na tazara wangekuwa wametumia akili kubwa sana
Tatizo Jiwe laanatullah aliona akiboresha trc hatapata sifa .
Ni heri ameshavunwa yule mtu katili na fisadi
Dah noma kweli kweli aisee.
Lakini marehemu hasemwi
 
Back
Top Bottom