Ushachomoa betri hapoHivi siri ipo kwenye kuumwa, au anachoumwa..!?
Kuna namna ya kumtambulisha mtuAnayeumwa ni mtu.
Cheo au Taasisi ni non livingthings hivyo haviwezi kuumwa
Akikujibu unishtue.Hivi siri ipo kwenye kuumwa, au anachoumwa..!?
kwa hiyo unataka taarifa za wafanyakazi wote wa serikali na wabunge wote wanaoumwa uwe unapewa kwa kuwa wanalipwa kwa kodi za serikali?Hakuna siri kama unaishi kwa kwa kodi ya wananchi. Wanaokatwa kodi ili kukutunza wana haki ya kujua matumizi ya kodi yao.
Wodini wanalazwa wanaoumwa,Wanaumwa nini? Hii ni siri ya mgonjwa na daktari wake lakini mgonjwa ana uhuru wa kumwambia mtu yeyote anachoumwaHivi siri ipo kwenye kuumwa, au anachoumwa..!?
Tena huko ukiumwa tu..siku unarudi kazini lazima uende na kile cheti cha ugonjwa...kuepeusha kutumia muda wa walipa kodi vibaya na pia kuongopa.Lipo wazi kabisa hilo...sasa sijaelewa kwanini huwa vyeti vinahitajika na akijua HR dunia umejua.kwa hiyo unataka taarifa za wafanyakazi wote wa serikali na wabunge wote wanaoumwa uwe unapewa kwa kuwa wanalipwa kwa kodi za serikali?
Hata wale wabunge walionyimwa matibabu kutokana na kukosa saini ya Rais tulijulishwa.kwa hiyo unataka taarifa za wafanyakazi wote wa serikali na wabunge wote wanaoumwa uwe unapewa kwa kuwa wanalipwa kwa kodi za serikali?
Nilisikitika Magufuli yukoConfidentiality: Daktari au mtumishi yoyote anayehusika kumtibu mgonjwa anatakiwa kutunza siri ya ugonjwa aliyonayo mgonjwa huyo. Daktari haruhusiwi kutoa taarifa za huyo mgonjwa bila idhini ya mgonjwa husika. Lakini pia mgonjwa anaweza yeye mwenyewe kutoa taarifa ya nini anaumwa kwa mtu wake wa karibu akipenda au kwa watu wote bila kushurutishwa na kitu chochote.
Ni kosa la kimaadili kwa daktari au mtumishi wa Afya kutoa siri za wagonjwa.
Kwa faida zaidi someni : MEDICAL ETHICS / BIOETHICSView attachment 1726871View attachment 1726872
Mtazunguuka sana, ila mwisho wa siku mjinga atapatikana,kati ya nyie au wananchi!Confidentiality: Daktari au mtumishi yoyote anayehusika kumtibu mgonjwa anatakiwa kutunza siri ya ugonjwa aliyonayo mgonjwa huyo. Daktari haruhusiwi kutoa taarifa za huyo mgonjwa bila idhini ya mgonjwa husika. Lakini pia mgonjwa anaweza yeye mwenyewe kutoa taarifa ya nini anaumwa kwa mtu wake wa karibu akipenda au kwa watu wote bila kushurutishwa na kitu chochote.
Ni kosa la kimaadili kwa daktari au mtumishi wa Afya kutoa siri za wagonjwa.
Kwa faida zaidi someni : MEDICAL ETHICS / BIOETHICSView attachment 1726871View attachment 1726872
Basi ushamaliza kila kitu,Hivi siri ipo kwenye kuumwa, au anachoumwa..!?