FAHAMU: Ugonjwa wa mtu ni siri kati ya Mgonjwa husika na Daktari, hayo ndiyo maadili ya kitabibu dunia nzima

Aisee wewe nipooza kweli ebu taduta sicksheet uisome vzr uone inasisitiza nani aijaze.

Hospitalini kuna file rasmi la matibabu linalokuwa na historia ya matibabu ya mgonjwa na sicksheet hujazwa baada ya matibabu hasa kuelezea hali ya mgonjwa baada ya matibabu na kuonesha kuwa amehudhuria matibabu na je anaweza kuendelea na kazi au apumzike kwanza kwa muda gani au arudi tena hospitalini baada ya muda gani
Hukuwa na sababu kutukana au kunipa magonjwa ambayo sina... jikite tu kwenye hoja mkuu...
 
Hukuwa na sababu kutukana au kunipa magonjwa ambayo sina... jikite tu kwenye hoja mkuu...
Mnapenda kuona mnaonewa na kutukanwa mkisahau upande wenu mnavyotukana,wapi umetulananwa na hoja gani ambayo nimeikimbia?nadhani nomeeleweka sana tu juu ua hoja ya msingi.

Tofautisha hoja ya nguvu na nguvu ya hoja mama
 
Mnapenda kuona mnaonewa na kutukanwa mkisahau upande wenu mnavyotukana,wapi umetulananwa na hoja gani ambayo nimeikimbia?nadhani nomeeleweka sana tu juu ua hoja ya msingi.

Tofautisha hoja ya nguvu na nguvu ya hoja mama
Silalamiki, ila umenikabidhi upooza
 
Confidentiality: Daktari au mtumishi yoyote anayehusika kumtibu mgonjwa anatakiwa kutunza siri ya ugonjwa aliyonayo mgonjwa huyo. Daktari haruhusiwi kutoa taarifa za huyo mgonjwa bila idhini ya mgonjwa husika.

Lakini pia mgonjwa anaweza yeye mwenyewe kutoa taarifa ya nini anaumwa kwa mtu wake wa karibu akipenda au kwa watu wote bila kushurutishwa na kitu chochote.

Ni kosa la kimaadili kwa daktari au mtumishi wa Afya kutoa siri za wagonjwa.

Kwa faida zaidi someni : MEDICAL ETHICS / BIOETHICS

View attachment 1726871View attachment 1726872
Hiyo siri haina ukomo? Kwamba daktari anaifanya siri kwa muda gani??
 
Ukitaka absolute privacy uwe private citizen. Leo hii mimi sijui kama Bakhresa ni mzima au anaumwa. Na sikumbuki mara ya mwisho nimemuona lini. The public doesn't care, he's a private citizen
Wewe umeambiwa kuumwa kwa mtu ni siri wataka nini kwani?
 
Wewe niteja kweli kinachorudi ni seak sheet au cheti cha ugonjwa?

Historia ya mgonjwa hubaki hospitalini na ndiyo maana hata mgonjwa huwa haruhusiwi kulishika kwa sababu maalum.

Kinachorudi kazini ni taarifa ya matibabu siyo historia ya mgonjwa,msilazimishe mambo,plz!!

Mwisho fanyeni kazi kuumwa kwa kiongozi hakuwaongezei kitu wala kuwapunguzia kitu kama ni umaskini wako uko palepale!!
Pitia uzi huu
 
Wewe niteja kweli kinachorudi ni seak sheet au cheti cha ugonjwa?

Historia ya mgonjwa hubaki hospitalini na ndiyo maana hata mgonjwa huwa haruhusiwi kulishika kwa sababu maalum.

Kinachorudi kazini ni taarifa ya matibabu siyo historia ya mgonjwa,msilazimishe mambo,plz!!

Mwisho fanyeni kazi kuumwa kwa kiongozi hakuwaongezei kitu wala kuwapunguzia kitu kama ni umaskini wako uko palepale!!
Hakuna pahala nimezungumza habari ya kiongozi kuumwa wa kuugua.Labda wewe ndio unifahamishe ni yupi huyo?
Punguza ukali ndugu mambo haya ni mepesi sana hasa kwa dunia ya sasa tunayolipa vipimo kwa Gepg.
 
IMG-20210222-WA0006.jpg
 
kwa hiyo unataka taarifa za wafanyakazi wote wa serikali na wabunge wote wanaoumwa uwe unapewa kwa kuwa wanalipwa kwa kodi za serikali?
Use your brain. Watanzania tumekuwa kama tumbili, tunaiga kila kitu. Huu ujinga wa kuanza sentensi na maneno ''Kwa hiyo....'' halafu unaweka conclusion yako tofauti na alichosema unayejibizana naye ni ujuha. Hapo nani kasema wafanyakazi wote wa serikali wanapoumwa taarifa zitolewe? Nyie ndiyo mnapojaribu kuongea kiingereza mnajikuta mnatumia neno ''So.......'' ikiwa na tafrisri ya ''kwahiyo.....''
 
Kuna watu wa aina tatu
Mtu binafsi
Mtu cheo
Mtu taasisi
Je sheria imefafanua kwenye hilo?
Mkuu, naona mtoa mada amejielekeza vibaya. Huko kwenye makundi ya watu umempeleka mbali sana, utamchanganya. Basically, the principle of confidentiality is not absolute. Ina-apply kwenye kile anachoumwa mgonjwa lakini siyo kwenye kuumwa.
 
Mkuu public figures waajiriwa wa walipa kodi hawana hiyo luxury ya kuficha ugonjwa wao. Wanaweza kufanya hivyo lakini ni kinyume cha taratibu na inaweza kusababisha taharuki kubwa na hata machafuko yanaweza kutokea.

Raia anayetaka kuficha magonjwa yake basi abaki kuwa Private citizen lakini akishaamua kuwa public figure luxury hiyo ya kuficha ugonjwa hanayo tena na ndiyo sababu Mkapa na Kikwete wote walilieleza Taifa wanaumwa nini walipokuwa wagonjwa kama wangeamua kuficha ingekuwa ni kinyume cha taratibu husika.
Confidentiality: Daktari au mtumishi yoyote anayehusika kumtibu mgonjwa anatakiwa kutunza siri ya ugonjwa aliyonayo mgonjwa huyo. Daktari haruhusiwi kutoa taarifa za huyo mgonjwa bila idhini ya mgonjwa husika.


Lakini pia mgonjwa anaweza yeye mwenyewe kutoa taarifa ya nini anaumwa kwa mtu wake wa karibu akipenda au kwa watu wote bila kushurutishwa na kitu chochote.

Ni kosa la kimaadili kwa daktari au mtumishi wa Afya kutoa siri za wagonjwa.

Kwa faida zaidi someni : MEDICAL ETHICS / BIOETHICS

View attachment 1726871View attachment 1726872
 
Back
Top Bottom