Fikrazangu
Member
- Dec 31, 2017
- 15
- 25
Imekua kawaida binadamu akipewa madaraka kutumia fursa hiyo kukandamiza wengine. Kufukia Juni 1 mifuko ya Rambo haitatakiwa kutumika tena. Kuna watu wamepewa dhamana ya kukagua mifuko ya rambo sehemu mbalimbali. Nimeona niwasogezee kanuni wanazopaswa kuzifuata Wakaguzi hawa ili kila mwananchi atambue haki zake kuepuka kunyanyasika.