Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu

MziziMkavu,nimeanza jana kutumia huo mseto. Inatest vizuri tu ni kama chachandu tena ya ukweli.Je, ni muda gani hasa inapaswa kutumiwa asubuhi,mchana au jioni? Je, naweza itumia wakati wa chakula au inatakiwa itumiwe kabla au baada ya kula?
 
Kuipata Asali Safi mbichi hapo ulipo kama ni Dares-Salaam huwezi kuipata mpaka utoke nje ya mji kama vile Kibaha kwa wafugaji Asali nakushauri mkuu. Asali Safi mbichi kuipima kwake ukisha nunuwa weka ndani ya Freji basi kama ni kweli hiyo Asali sio Feki basi haito ganda lakini kama ni Asali ni feki basi itaganda kwenye Friji.
Hii point nimeinakili Mzizi Mkavu sababu nami nimeshatapeliwa sana na wajanja kwa kuniuzia asali fake.
 
Hutibu Magonjwa gani ?
Tangawizi husaidia yafuatayo:
Kuongeza hamu ya kula
Kupunguza kichefuchefu
Kutapika, kuharisha
Kisukari
Shinikizo la damu
Kuongeza msukumo wa damu
Kutoa sumu mwilini
Maumivu ya tumbo na
Gesi tumboni.
Pia husaidia uyeyushwaji wa chakula
tumboni. Vilevile husaidia wakati wa
matatizo ya mafua au flu na magonjwa
mengine mengi.
Kama utakuwa makini au kuwahi
kuwahudumia wagonjwa wa UKIMWI basi
magonjwa hayo hapo juu ni kati ya
Magonjwa nyemelezi yanao wasumbua
sana hawa ndugu zetu hivyo wakitumia
Tangawizi basi wataweza kuondokana
kabisa na matatizo hayo na kuishi vizuri
na kutekeleza majukumu yao ya kila siku
na kuepukana na kulala tu kitandani.

"kwa ujumla tangawizi ni kiungo
ambacho kinatokana na mizizi ya mmea
wa Tangawizi. Mmea huu unafanana sana
na Binzari ikiwa bado haijamenywa
maganda yake. Na kwa hapa Tanzania
Tangawizi hulimwa sana mikoa ya nyanda
za juu Kusini na baadhi ya mikoa kama
Kilimanjaro, baadhi ya maeneo ya mkoa
wa Manyara, Morogoro, na kwingineko
nchini.
Pia kama bidhaa inapatikana nchi nzima
kwa bei nafuu kabisa na kila mtu mwenye
uwezo wowote wa kiuchumi anaweza
kununua aidha kwa kipande kimoja, fungu
au kwa kilo pia.
Tangawizi inatumikaje ?:
Mmea huu unaweza kuonekana kama
mmea wa kawaida na watu kuutumia tu
kama mazoea lakini Kiungo hiki kinaweza
kutumiwa kama Dawa. Kiungo hiki
huweza kutumika kikiwa kibichi au kikiwa
kimekaushwa na kutengen
ezwa unga.
Nini Faida ya Tangawizi?
Tangawizi ni mmea kati ya mimea mingi
yenye maajabu, Mmea huu unaweza
kutumika kama dawa na kutibu magonjwa
mengi tu zaidi ya 72 yaliyo ndani ya miili
yetu na kutuacha tukiwa wazima na
kutekeleza majukumu yetu ya kila siku.
Pia kiungo hiki kinafaida zaidi kwa
Wagonjwa hasa walio athirika na Ugonjwa
wa UKIMWI. Hivyo chonde kwa wale
wenye matatizo kama haya wanaweza
kupata faida zaidi ya Maajabu ya Mmea
huu wa Tangawizi.
Jinsi ya kuitumia kama Dawa:
Tangawizi ikiwa imesagwa au Mbichi
iliyopondwa pondwa inaweza kutumika
kama Kinywaji kama ilivyozoeleka kwa
watu wengi.
Namna rahisi ya kuitumia Tangawizi ni
katika chai, inakuwa ni mubadala wako
wa majani yale meusi ya chai ambayo
yenyewe huwa na kaffeina ambayo
hupelekea magonjwa mengi mwilini (soma
kuhusu kansa na uzito kupita kiasi
kuyajuwa madhara ya kutumia majani ya
chai nyeusi), Pia inaweza kutumika katika
vyakula hasa nyama na mbogamboga
zingine, inaweza kuongezwa katia juisi
freshi pia na kuleta radha nzuri ambayo
ni dawa pia."
 
Mimi mwenyewe nina ushuhuda nzuri wa Asali. Nilikuwa na matatizo makubwa sana ya vidonda vya tumbo, mafua makali sana ya mara kwa mara na haswa nikimkaribia mtu mwenye mafua, uzito mkubwa sana wa kufikia kilo 96 pamoja na Arthritis kali sana kiasi cha kutembea nikiwa nachechemea kwa ajili ya maumivu makali ya viungo.

Nilisoma humu humu Jamiiforum, maelekezo jinsi ya kutumia Asali kwa kuchanganya na mdalasini na maji ya uvuguvugu. Nilianza kutumia mchanganyiko huo asubuhi na jioni kila siku tokea mwezi wa Julai 2013.

Matokeo yake kwa kweli ni mazuri mno na ninajisikia vizuri ajabu. Vidonda vya tumbo vimetoweka, mafua makali sijawahi tena kuyapata hata kama nikikaa karibu na mgonjwa wa mafua, nimepungua uzito kwa kilo 12 kutoka 96 hadi 84, Maumivu makali ya viungo (Arthritis) yametoweka kabisa. Kwa ujumla nausikia mwili wangu kuwa mpya kabisa hata wafanyakazi wenzangu wananishangaa.

Bado naendelea kutumia mchanganyiko huo kwa kuwa nimeshazoea na imekuwa ngumu kwangu kuacha. Natoa ushauri wa kila mmoja anayeweza atumie na kwa kweli utaona mabadiliko katika afya yako.
 
Mimi mwenyewe nina ushuhuda nzuri wa Asali. Nilikuwa na matatizo makubwa sana ya vidonda vya tumbo, mafua makali sana ya mara kwa mara na haswa nikimkaribia mtu mwenye mafua, uzito mkubwa sana wa kufikia kilo 96 pamoja na Arthritis kali sana kiasi cha kutembea nikiwa nachechemea kwa ajili ya maumivu makali ya viungo.

Nilisoma humu humu Jamiiforum, maelekezo jinsi ya kutumia Asali kwa kuchanganya na mdalasini na maji ya uvuguvugu. Nilianza kutumia mchanganyiko huo asubuhi na jioni kila siku tokea mwezi wa Julai 2013.

Matokeo yake kwa kweli ni mazuri mno na ninajisikia vizuri ajabu. Vidonda vya tumbo vimetoweka, mafua makali sijawahi tena kuyapata hata kama nikikaa karibu na mgonjwa wa mafua, nimepungua uzito kwa kilo 12 kutoka 96 hadi 84, Maumivu makali ya viungo (Arthritis) yametoweka kabisa. Kwa ujumla nausikia mwili wangu kuwa mpya kabisa hata wafanyakazi wenzangu wananishangaa.

Bado naendelea kutumia mchanganyiko huo kwa kuwa nimeshazoea na imekuwa ngumu kwangu kuacha. Natoa ushauri wa kila mmoja anayeweza atumie na kwa kweli utaona mabadiliko katika afya yako.
Asante sana kwa kutupa Feedback ubarikiwe mbinguni ameen.
 
MziziMkavu,nimeanza jana kutumia huo mseto. Inatest vizuri tu ni kama chachandu tena ya ukweli.Je, ni muda gani hasa inapaswa kutumiwa asubuhi,mchana au jioni? Je, naweza itumia wakati wa chakula au inatakiwa itumiwe kabla au baada ya kula?

Dr. MziziMkavu njoo pande hii ujibu hii makitu. Ntafurahi kama utatupa ratio ya huu mseto. Tushachoka kudungwa misindano sie.
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu,nimeanza jana kutumia huo mseto. Inatest vizuri tu ni kama chachandu tena ya ukweli.Je, ni muda gani hasa inapaswa kutumiwa asubuhi,mchana au jioni? Je, naweza itumia wakati wa chakula au inatakiwa itumiwe kabla au baada ya kula?
Hongera kwa kutumia Dawa ya Miujiza unachotakiwa uwe unatumia kwa siku mara moja nayo ni kila Asubuhi unapo amka kabla ya kula au kunywa kitu ndio utumie hiyo dawa. Ukiweza na kutumia jioni pia sio mbaya lakini sio lazima sana ubora wake hii dawa utumie Asubuhi unapo amka kabla ya kula au kunyw akitu kisha unakaa kwa muda wa saa moja kupita ndipo waweza kula chakula chako cha asubuhi mkuu jobel

Dr. MziziMkavu njoo pande hii ujibu hii makitu. Ntafurahi kama utatupa ratio ya huu mseto. Tushachoka kudungwa misindano sie.
Babu Asprin nimesha mpa mafaida kibao kazi kwake atumie itamsaidia kuondosha sumu na uchafu kwenye damu na mkojo mwilini mwake.
 
Last edited by a moderator:
Nimefanya utafiti kwangu mimi mwenyewe ndio nikagunduwa huo ungunduzi wangu kuwa asali inao uwezi wa kusafisha Ini na Figo ukiitumia siku 40 Mfululizo na pia itakuwezesha wewe Mwanamme Dushelele (Penis) lako kusimama kila wakati unapo taka kulitumia kimapenzi kazi kwenu.

Mimi sijui nina matatizo gani kwani nikila asali tumbo lauma ile mbaya.
Ila kuna uhusiano gani kati ya asali na maumbile ya kuime?
 
Mjuvi anijuze,
Nilinunua asali mbichi lita 5 toka kwa warina asali lakini baada ya mwezi tu imeanza kuganda ihali ilikuwa ya kumiminika, je sababu ni nini.
je nini nifanye isigande.
Imewekwa katika chombo cha plastiki (galoni)
 
Mimi sijui nina matatizo gani kwani nikila asali tumbo lauma ile mbaya.
Ila kuna uhusiano gani kati ya asali na maumbile ya kuime?
Labda tumbo lako linakudanganya jaribu kuwa kila unapo taka kula asali chukuwa kijiko kimoja cha Asali changanya na maji ya Uvuguvugu glasi moja uwe unakunywa kila wakati unapo taka kunywa hiyo asali fanya hivyo, Kisha uje unipe feedback. Asali ni dawa ya Naturall ya kuongeza nguvu za kiume ukiwa unakula kila siku basi utakuw ana nguvu za kiume. Asali ni Dawa inayo tibu maradhi mengi tu Mojawapo ya Maradhi inayotibu Asali ni haya hapa chini :

YAFAHAMU MAGONJWA 23 YANAYOTIBIWA KWA MATUMIZI YA ASALI


By MziziMkavu at 18:23 FAIDA ZA ASALI No comments






1. Ugonjwa wa viungo/maumivu na uvimbe.
2. Kukatika kwa nywele.
3. Ukungu wa miguu.
4. Maambukizo kwenye kibofu cha mkojo.
5. Maumivu ya jino.
6. Lehemu (Cholestral).
7. Ugumba
8. Mchafuko wa tumbo.
9. Ugonjwa wa moyo
10. Shinikizo la damu.
11. Kinga ya mwili.
12. Ukosefu wa nguvu za kiume.
13. Flu.
14. Umri wa kuishi.
15. Chunusi.
16. Kuumwa na wadudu (kwa washawasha) wenye sumu.
17. Madhara ya ngozi.
18. Kupungua kwa uzito.
19. Saratani.
20. Uchovu mwilini.
22. Harufu mwilini.
23. Kupungua kwa usikivu

Ukiwa na Swali lolote lile unaweza kuwasiliana na mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano ~ Mzizi Mkavu

 
mimi asali mbichi mbona inanisababishia tumbo kujaa gas na kuwa na maumivu?msaada tafadhari
kila unapo taka kula Asali chukuwa kijiko kimoja cha Asali changanya na maji ya Uvugvugu glasi moja uwe unakunywa kila wakati unapo taka kunywa hiyo asali fanya hivyo, Kisha uje unipe feedback.
 
Mjuvi anijuze,
Nilinunua asali mbichi lita 5 toka kwa warina asali lakini baada ya mwezi tu imeanza kuganda ihali ilikuwa ya kumiminika, je sababu ni nini.
je nini nifanye isigande.
Imewekwa katika chombo cha plastiki (galoni)

Hio haina shida. Pendelea kuweka gelon lako juani iwe kama unaianika. Inayayuka taratibu. Asali mbichi ndo kawaida yake iyo
 
Labda tumbo lako linakudanganya jaribu kuwa kila unapo taka kula asali chukuwa kijiko kimoja cha Asali changanya na maji ya Uvuguvugu glasi moja uwe unakunywa kila wakati unapo taka kunywa hiyo asali fanya hivyo, Kisha uje unipe feedback. Asali ni dawa ya Naturall ya kuongeza nguvu za kiume ukiwa unakula kila siku basi utakuw ana nguvu za kiume. Asali ni Dawa inayo tibu maradhi mengi tu Mojawapo ya Maradhi inayotibu Asali ni haya hapa chini :

YAFAHAMU MAGONJWA 23 YANAYOTIBIWA KWA MATUMIZI YA ASALI


By MziziMkavu at 18:23 FAIDA ZA ASALI No comments






1. Ugonjwa wa viungo/maumivu na uvimbe.
2. Kukatika kwa nywele.
3. Ukungu wa miguu.
4. Maambukizo kwenye kibofu cha mkojo.
5. Maumivu ya jino.
6. Lehemu (Cholestral).
7. Ugumba
8. Mchafuko wa tumbo.
9. Ugonjwa wa moyo
10. Shinikizo la damu.
11. Kinga ya mwili.
12. Ukosefu wa nguvu za kiume.
13. Flu.
14. Umri wa kuishi.
15. Chunusi.
16. Kuumwa na wadudu (kwa washawasha) wenye sumu.
17. Madhara ya ngozi.
18. Kupungua kwa uzito.
19. Saratani.
20. Uchovu mwilini.
22. Harufu mwilini.
23. Kupungua kwa usikivu

Ukiwa na Swali lolote lile unaweza kuwasiliana na mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano ~ Mzizi Mkavu




Asante kwa majibu yako mzee nitashughulikia leo afu kesho nitaweka feedback hapa
 
Back
Top Bottom