Kambale ana mapafuKambalae siyo samaki ni chura.
Katika wale ndubwi atakayeota miguu anakua chura atakayekosa miguu anaevolve na kua kambale.
Samaki huhitaji maji kuishi ila kambale waweza mtoa kwenye maji ukamuacha kwenye beseni kwa saa mbili na ukamkuta yupo hai.
Akijifukia kwenye tope ndiyo utamsahau ila siku ukifukua tope unamkuta.
Si ndo tuanze kula vyura sasa
Dafuq is that bitch?Hellena G mweupe amewakosesha watu raha sana
Ni churaKambale ana mapafu
Hatari sana mzeeKumbe vyura wataam sana!
MigebukaPale kwenye makutano yesu aligawa Samaki aina gani?
halafu anatokea fala mzungu anakwambia analiwa.. 😁Bolbfish ndiye samaki MWENYE sura mbaya kuliko kiumbe chochote duniani. Samaki huyu hupatikana New Zealand na Australia.
View attachment 1886784
wale kma skosei walkuwa vibua..😬Pale kwenye makutano yesu aligawa Samaki aina gani?
Samaki gani alikupa taarifa hii?
Napenda sana kambale...nikifika dodoma lazima nile kambale wa kutoka homboloKambale, my favourite fish.
Nikimpata fresh na apikwe tu hivyo hivyo bila viongo vya ajabu ajabu,yaani maji na chumvi ama limao kwa mbali tu na ugali wa muhogo laini, maisha yanakua matamu sana.
Kwangu kambale kisha anafuata Sato, ila watu wa kanda ya ziwa tunajua kwenye mito na ziwani kuna visamaki species nyingine vidogo vidogo vitamu balaa, vingine vina rangi rangi, mabaka mabaka, sijui ningu na majina mengine ambayo sijapata kiswahili chake fasaha.
Hiyo picha hapo huyo ni kamongo na sijui kwa kimombo anaitwaje. Ni mtamu balaa, hana mfupa. Ndugu zangu wajaluo wanasema kamongo asinda nyama, kwa maharage atoka droo, eeh yawah, omera. Machiegni omera.
Hii taarifa uliitoa wapi??Kambalae siyo samaki ni chura.
Katika wale ndubwi atakayeota miguu anakua chura atakayekosa miguu anaevolve na kua kambale.
Samaki huhitaji maji kuishi ila kambale waweza mtoa kwenye maji ukamuacha kwenye beseni kwa saa mbili na ukamkuta yupo hai.
Akijifukia kwenye tope ndiyo utamsahau ila siku ukifukua tope unamkuta.
Si ndo tuanze kula vyura sasa
Hii taarifa uliitoa wapi??
KamongoHuyo ni samaki gani?
ni nini kinaweza kumfanya binadamu atambue kuwa samaki anaweza kujua ladha zote hizo?10)kambare anauwezo wa kujua ladha 27,000