Fahamu madhara ya kuvaa chupi

Fahamu madhara ya kuvaa chupi

Hongera mkuu tpaul kwa utafiti wako. Lakini hiyo avantar yako ya kulialia inaniacha hoi mimi .

Pamoja sana mkuu....tuko pamoja ktk kuelimisha umma. Hiyo avatar yangu inaashiria namna wananchi wanavyoumizwa na ugumu wa maisha wakati rasilimali za nchi zikiwanufaisha mafisadi wachache, ambao idadi yao haitindiki watu 100 ktk nchi nzima! Very sad and miserable!
 
Last edited by a moderator:
Pamoja sana mkuu....tuko pamoja ktk kuelimisha umma. Hiyo avatar yangu inaashiria namna wananchi wanavyoumizwa na ugumu wa maisha wakati rasilimali za nchi zikiwanufaisha mafisadi wachache, ambao idadi yao haitindiki watu 100 ktk nchi nzima! Very sad and miserable!
Halafu wakati wa uchaguzi munawachaguwa hao hao munao waita Viongozi Mafisadi? Utafikiri hakuna tena viongozi wazuri zaidi ya hao viongozi Mafisadi?

Kipanya+na+mafisadi.jpg
 

Attachments

  • Kipanya+na+mafisadi.jpg
    Kipanya+na+mafisadi.jpg
    23.6 KB · Views: 207
we lazima utakuwa mmasai kama sio basi makala ulizosoma zimeandikwa na mmasai looh, kuna mdada humu ndo niliwahi kumsoma kuwa yeye alishaacha kuvaa kyupi, wanaume wanaweza acha kuvaa ila wanawake lazima kuvaa maana bila kyupi utakaaje....
 
mi mwaka wa kumi na tano sivai chupi. Ni boxer tu. Mafanikio niliopata ni uume kukua na kurefuka kwa kasi na mbegu kuwa nyingi sana. Huwa naweza jaza kikombe cha chai! Sitanii!

Ww mkali sana 😀
 
we lazima utakuwa mmasai kama sio basi makala ulizosoma zimeandikwa na mmasai looh, kuna mdada humu ndo niliwahi kumsoma kuwa yeye alishaacha kuvaa kyupi, wanaume wanaweza acha kuvaa ila wanawake lazima kuvaa maana bila kyupi utakaaje....
Huko mtaani kwenu wote mnavaa?
 
Pamoja sana mkuu....tuko pamoja ktk kuelimisha umma. Hiyo avatar yangu inaashiria namna wananchi wanavyoumizwa na ugumu wa maisha wakati rasilimali za nchi zikiwanufaisha mafisadi wachache, ambao idadi yao haitindiki watu 100 ktk nchi nzima! Very sad and miserable!
Kulia hakusaidii chukua hatua....
 
Chupi za kubana zinanisev sana..hasa kwenye pilikapilika za daladala
bila chupi inabidi utafute mbinu mpya ya kushindana na vishawish hasa kwa wadada wabinua matiti!!
haswa sisi tulozoa kuvaa visuruali vya ki model tena vya kitambaa alafu tumechimbia mashati kwenye hivyo visuruali, alafu vishati vyenyewe sasa si vifupi kiaina hivi,
sasa chukulia umevaa chupi ya kupwaya au bukta bila pichu, kisha upo kwenye mgahawa unapata luch, panaingia wadada wakareee, nyonyo bust sketi fupi miguu ya haja wanaongea wanajisahau mpka wanaacha miguu wazi, wewe sasa ushamaliza kula na umepigiwa simu ya dharura urudi job, na hapo mzee kasima wima ile mbaya, unajaribu kuchomolea shati, shati halifichi kitu, unaweka mikono mfukoni mifuko mifupi haifichi kitu, HAPO CHACHA.

Kwa kuzingatia umuhimu na faida ulizo ainisha mimi nitafanya kama ifuatavyo, nitatoka nyumbani mpaka offisini bila chupi muda wa kwenda chai nitaingia chooni navaa pichu yangu, nikirudi ofisni navua, mpaka muda wa luch navaa nikirudi navua, jioni nikitoka kama naenda moja kwa moja hom, sivai kama napitia sehemu ambayo itanisababisha kuwa kwenye mazingira magumu navaa kwa muda, nikifika hom navua kisha navaa msuli mpaka kesho yake tea time ofisini.
 
Sio faida yeyote ya kutovaa chu**pi, hujaweza kueleza faida na madhara kwa wale ambao wanavaa
Swali: Kwa wadada wakiwa period waachie kama bomba la Dawasco?
Kwa wasafiri hasa DAR kwenye daladala wamesimama na kubanana kwa style zile unategemea nini pande zote zikiwa hawajavaa wakababanana mithili ile what do youe expect will happpen???
Akili za kuambiwa ............changanya........na kwako.......na za ................= Right choice & decision!
 
we lazima utakuwa mmasai kama sio basi makala ulizosoma zimeandikwa na mmasai looh, kuna mdada humu ndo niliwahi kumsoma kuwa yeye alishaacha kuvaa kyupi, wanaume wanaweza acha kuvaa ila wanawake lazima kuvaa maana bila kyupi utakaaje....

Hahahahaha! Utavaa bukta au lichupi linalopwaya, ilmradi tu lisibane nyeti na kuzinyima kupumua kwa ufasaha. Kwanza Wanawake wengi nowadays hawavai sketi na gauni--wengi wanavaa suruali--kama ukitinga suruali (isiyobana) nani atajua hujavaa chupi?
 
kwa mwanaume naweza nikakubali bt kwa mwanamke haiwezekan eti usivae chup? mmmhhg utakuwa na matatizo
 
Sio faida yeyote ya kutovaa chu**pi, hujaweza kueleza faida na madhara kwa wale ambao wanavaa
Swali: Kwa wadada wakiwa period waachie kama bomba la Dawasco?
Kwa wasafiri hasa DAR kwenye daladala wamesimama na kubanana kwa style zile unategemea nini pande zote zikiwa hawajavaa wakababanana mithili ile what do youe expect will happpen???
Akili za kuambiwa ............changanya........na kwako.......na za ................= Right choice & decision!

Mkuu, katika utetezi wangu nimeweka andiko la utafiti katika moja ya comments zangu hapo juu. Hebu soma hapa kwanza:
1. Utafiti: Nguo za ndani zachangia ugumba - Kitaifa - mwananchi.co.tz

2. Utafiti: Nguo za kubana zinaweza kusababisha saratani - Makala - mwananchi.co.tz

3.Suruali za kubana, nguo za ndani; muuaji wa kimya kimya - mwanzo - mwananchi.co.tz
 
kwa mwanaume naweza nikakubali bt kwa mwanamke haiwezekan eti usivae chup? mmmhhg utakuwa na matatizo
Mkuu, kwani kama usipovaa kuna mtu atakuja kukufunua nguo akuchungulie kama umevaa au la? Cha msingi ni kwamba usipovaa chupi, usimwambie mtu yeyote--wewe uchune tu wala hakuna mtu atakayejua--ni siri yako. Najua kuna baadhi ya watu (hasa wanawake) wakikuona hujavaa wanaweza kudhani labda wewe ni mchawi au umetumwa na sangoma kutokuvaa ili upate utajiri, lakini nakushauri watu kama hao wewe wapuuzie tu--kwa kuwa unaacha kuvaa kwa faida yako binafsi. Umeona eeh?
 
Hahahahaha! Utavaa bukta au lichupi linalopwaya, ilmradi tu lisibane nyeti na kuzinyima kupumua kwa ufasaha. Kwanza Wanawake wengi nowadays hawavai sketi na gauni--wengi wanavaa suruali--kama ukitinga suruali (isiyobana) nani atajua hujavaa chupi?

hujui tuu utamu wa chupi kwa wanawake ukoje.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom