Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Hongera mkuu tpaul kwa utafiti wako. Lakini hiyo avantar yako ya kulialia inaniacha hoi mimi .Ndugu wanaJF, kwa ufahamu zaidi juu ya madhara ya uvaaji wa chupi na nguo za kubana, hebu someni makala haya hapa:
1. Utafiti: Nguo za ndani zachangia ugumba - Kitaifa - mwananchi.co.tz
2. Utafiti: Nguo za kubana zinaweza kusababisha saratani - Makala - mwananchi.co.tz
3.Suruali za kubana, nguo za ndani; muuaji wa kimya kimya - mwanzo - mwananchi.co.tz
CC: pierre tall kill JT2014 Swat shaks001 Honey Faith SaidAlly Mtoto halali na hela mshana jr Nokia83 OLESAIDIMU Kichwa Ndio Mtu masai dada
Daata mwallu Adrian Stepp papag mtengwa MziziMkavu
Last edited by a moderator: