Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 21,759
- 44,576
Wewe jamaa kavu sana nimecheka sana eti tunaficha nini huku tumekumbatia vitumbua aisee JF ina watu sana..Mwaka wa 800 huu, android tuna hii kitu 😂View attachment 2819415
Wewe jamaa kavu sana nimecheka sana eti tunaficha nini huku tumekumbatia vitumbua aisee JF ina watu sana..Mwaka wa 800 huu, android tuna hii kitu 😂View attachment 2819415
Sawa nimekuelewa ila siipendi tu sijui kwanini...1. Security, iohone Ina security kubwa mno kiasi mtu akiiba itamchukua mda na gharama kuondoa security kwenye iphone. Tofauti na simu za android ambapo Kuna applications kibao kwa ajili ya kutoa password na lock tena cheaply.
2. Data protection. Kila kitu kwenye iphone kiko well secured kwenye icloud (picha, music, videos, files etc. Kiasi ukiibiwa simu unaweza kutumia iphone ya mtu mwingine kuretrieve data zako. Zikarudi zote kama awali. Tofauti na android ambapo ukipoteza simu ndio nitolee hiyo.
Kingine si rahisi kushare data zako na watu wengine ukiwa na iphone. Tofauti na android ambapo unaweza kurusha kupitia Bluetooth, kwenye computer, mitandaoni etc bila restrictions za aina yeyote hivyo kuifanya iphone kuwa imara zaidi na zaidi.
Depreciation value. Iphone inakaa mda mrefu bila kupoteza value tofauti na android. Example iphone ya miaka m3 nyuma bei yake ni kubwa sana kuliko bei ya simu yoyote ya android ya miaka m3. Nyuma. Android zinawahi sana kushuka thamani kuliko iphone.
Photo [emoji991] and video quality ya iphone ni bora sana kuliko simu yeyote ya android kitu kinachoongezea points iphone na kuonekana ni simu bora sana [emoji28] kwani sababu kubwa ya watu kumiliki smartphone ni hiyo.(multimedia)
Simplicity. Iphone ni rahisi kuitumia. Ukitoa lock screen tu unaenda direct kwenye home screen unaanza kutumia simu yako. Action button iko pembeni kuta touch assistant na features nyingine kibao zinazoongeza Simplicity kwenye simu.
Mmmh si wote wanajua vinyeo vinafananaje aiseee acha mambo yako wewe mpaka ujue kinafanana vipi ilikuaje kuaje... 😂😂😂😂😂Huwa mnalinda taarifa gani hizo kwenye simu?
Picha za vinyeo? mbona hiyo kawaida sana nani asiyejua sura ya kinyeo?
Hata ukificha vinyeo kwenye simu, wote tuna vinyeo na tunajua vinafananaje.
Acha kujitaabisha my friends, ladies and gentlemen.
Cc: Monetary doctor Poor Brain Mbaga Jr Tlaatlaah
Cha umuhimu ni ukali tuu 🔥
Mbamizwa chogo wakati una type huangalii hata pembeni maake mtu anaweza zimia atiiiiiiii babanguuuu 🤣 😆Huwa mnalinda taarifa gani hizo kwenye simu?
Picha za vinyeo? mbona hiyo kawaida sana nani asiyejua sura ya kinyeo?
Hata ukificha vinyeo kwenye simu, wote tuna vinyeo na tunajua vinafananaje.
Acha kujitaabisha my friends, ladies and gentlemen.
Cc: Monetary doctor Poor Brain Mbaga Jr Tlaatlaah
Matajiri wa kweli wanatumia Samsung kwa sababu haina mambo mengi na viingereza vichache tofauti na mzala IPhone...Angalia matajiri wa kweli simu gani wanatumia (najua ni Samsung)
Ila sasa wale matajiri uchwara na wasomi na mawinga ni Sim zipi wanatumia
ina maana shem hujui sura ya kinyeo chako kweli?Mmmh si wote wanajua vinyeo vinafananaje aiseee acha mambo yako wewe mpaka ujue kinafanana vipi ilikuaje kuaje... 😂😂😂😂😂
Mbamizwa dokta niko kwenye maombi ya novena siogopi wowote.Mbamizwa chogo wakati una type huangalii hata pembeni maake mtu anaweza zimia atiiiiiiii babanguuuu 🤣 😆
Unasali novena ipi mpendwa katika KristoMbamizwa dokta niko kwenye maombi ya novena siogopi wowote.
Novena ya Kristo Mfufuka.Unasali novena ipi mpendwa katika Kristo
Hiyo sina em ntumie kwa email ama Whatsapp Kuna hii ya Mt Rita wa kashiaNovena ya Kristo Mfufuka.
Daaah . Wewe ni jangaina maana shem hujui sura ya kinyeo chako kweli?
Hujawai kukifotoa picha?