BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,034
- 3,947
..ikiwa inapita kasi ama nayo ikiwa imetulia tu kama nyota?Nafikiri unaongelea muonekano wa hicho kituo huko angani kati ya siku hizo itakapoonekana??
Jibu ni; Itaonekana kama nyota fulani kubwa kiasi kwa kuitazama kwa macho ila kwa kifaa maalumu itaonekana kama kilivyo.