Element hii iligunduliwa na mwanamama Marie Curie (mwanamke pekee mshindi mara mbili wa tuzo za amani za Nobel katika kemia na fizikia). Ilipewa jina la Polonium kwasababu ya heshima ya nchi aliyo zaliwa, Poland.
Alifariki Julai 4, 1934 kutokana na athari za mionzi (irradiation sickness) lakin kutokana na half life ya element hiyo hususani ya isotope 209 (P209) kuwa na half life ya miaka 123.3+/-3.2 ilifanya mwili wa mwana mama huyo mashuhuri kuzikwa kwenye sanduku lililojengwa kwa kutumia Lead plate ili kuzuia mionzi hatari ya polonium inayoendelea kuzalishwa hadi leo hii kutoka kwenye mwili wake.