george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,177
- 1,825
MUHURI WA KICHAWI
Kwanza tuutambue muhuri wa kichawi ni nini na una faida ama athari zipi.
Muhuli wa kichawi ni nembo/alama inayotumika katika kutia alama watu walioshikwa kichawi ama kupewa kinga kichawi.
Muhuri huu uwasaidia wachawi kukufuatilia ama kutambua wakati wowote unapokuwa katika miangaiko au katika maswala ya kitiba unapowaza au kwenda kutafuta kujinasua na kujitoa katika vifungo vya kichawi huwasaidia kukuona na kutambua matakwa ama itaji unalotaka kutimiza na kupelekea kwenda kuharibu na kuvunja kabisa mipango yako iwe ya kitiba ama kimaendeleo katika maisha.
Huwa ni kama gprs ama cctv camera ama mifumo yakiteknolojia ya mtandao ama google map.Wachawi wanaweza kukufatilia na kunasa chochote unachokifanya ama kutaka kukifanya kwa wakati hule hule ulio timilifu mfano katika maswala ya maendeleo unaweza pesa ya haraka ukataka kufanya jambo la kimaendeleo kwa haraka ila ghafla ukakuta linatokea tatizo na ukajikuta unakuja kutatua tatizo badala ya kufanya lile jambo la kimaendeleo na mwisho wa siku malengo yanakuwa yamevurugika na ukitafuta chanzo cha tatizo unaona kwamba limekuja katika njia azieleweki eleweki ilimradi kufelisha mambo yako.Ama ukawa umeenda kwa mtaalamu mkawasiliana na mkafika makubaliano ya tiba ila ghafla ukapata kiwewe na ukajikuta unakosa kumuamini au unafemea padogo ili kufanya ile tiba yako na ikashindikana kwa siku hiyo na baada ya hapo mambo yakaja kuvurugika kabisa na ukashindwa kufanya ile tiba ama ukakutana na mtaalamu mwengine ambae sio mkweli na ukajikuta pesa yako inapotelea uko bila kupata tiba iliyo sahihi.
Mara nyingi huwa wanakuendesha na kukukontroo maisha yako kwa kutumia huu muhuli wa kichawi waliokubandika katika mwili wanaweza kukupa kiwewe cha kukutoa kwenye jambo ama tiba sahihi na kukupeleka mahala pasipo sahihi sababu lengo la mchawi ni kukupoteza na kukuharibia kila kitu kilicho bora na muhimu katika maisha yako na kukubebesha matatizo na mabalaa ili kukupoteza na kukufanya uwe mwenye kuteseka maisha yako yote
Kwanza tuutambue muhuri wa kichawi ni nini na una faida ama athari zipi.
Muhuli wa kichawi ni nembo/alama inayotumika katika kutia alama watu walioshikwa kichawi ama kupewa kinga kichawi.
Muhuri huu uwasaidia wachawi kukufuatilia ama kutambua wakati wowote unapokuwa katika miangaiko au katika maswala ya kitiba unapowaza au kwenda kutafuta kujinasua na kujitoa katika vifungo vya kichawi huwasaidia kukuona na kutambua matakwa ama itaji unalotaka kutimiza na kupelekea kwenda kuharibu na kuvunja kabisa mipango yako iwe ya kitiba ama kimaendeleo katika maisha.
Huwa ni kama gprs ama cctv camera ama mifumo yakiteknolojia ya mtandao ama google map.Wachawi wanaweza kukufatilia na kunasa chochote unachokifanya ama kutaka kukifanya kwa wakati hule hule ulio timilifu mfano katika maswala ya maendeleo unaweza pesa ya haraka ukataka kufanya jambo la kimaendeleo kwa haraka ila ghafla ukakuta linatokea tatizo na ukajikuta unakuja kutatua tatizo badala ya kufanya lile jambo la kimaendeleo na mwisho wa siku malengo yanakuwa yamevurugika na ukitafuta chanzo cha tatizo unaona kwamba limekuja katika njia azieleweki eleweki ilimradi kufelisha mambo yako.Ama ukawa umeenda kwa mtaalamu mkawasiliana na mkafika makubaliano ya tiba ila ghafla ukapata kiwewe na ukajikuta unakosa kumuamini au unafemea padogo ili kufanya ile tiba yako na ikashindikana kwa siku hiyo na baada ya hapo mambo yakaja kuvurugika kabisa na ukashindwa kufanya ile tiba ama ukakutana na mtaalamu mwengine ambae sio mkweli na ukajikuta pesa yako inapotelea uko bila kupata tiba iliyo sahihi.
Mara nyingi huwa wanakuendesha na kukukontroo maisha yako kwa kutumia huu muhuli wa kichawi waliokubandika katika mwili wanaweza kukupa kiwewe cha kukutoa kwenye jambo ama tiba sahihi na kukupeleka mahala pasipo sahihi sababu lengo la mchawi ni kukupoteza na kukuharibia kila kitu kilicho bora na muhimu katika maisha yako na kukubebesha matatizo na mabalaa ili kukupoteza na kukufanya uwe mwenye kuteseka maisha yako yote