Kiparuanda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,578
- 2,377
Ndugu mtanzania mwenzangu, najua unapenda sana vitu vya dezo, ila katika utawala huu itakubidi tu ulipie umeme kadri unavyoutumia. Watanzania tufanye khaazi (in John's voice)
Ukishajikuta umefungua uzi kama huu ujijue kabisa wewe ni irresponsible unapenda dezo na ulitaka kushiriki uhalifu kuliibia TANESCO (na wewe ni baba..)Na wewe ni baba ... Hiyo familia unayoiongoza itakuwa imepewa Chumba pale milembe
IDIOT & POYOYO HUYO!!Ban this idiot
Huwezi kuaibika mkuu maana kwanza unajiita mkwepa kodi yaani yaani unapenda ishu za upigajiDuuuh nimejiabisha sana, itaonekana na mimi napenda vitu vya dezo ndiyo maana nimefungua huu uzi
Najiuliza kama kaoa mke alimkubalijeWewe ni kaongo aiseee
Wewe ni kiazi kweli Kama baba j.Ndugu mtanzania mwenzangu, najua unapenda sana vitu vya dezo, ila katika utawala huu itakubidi tu ulipie umeme kadri unavyoutumia. Watanzania tufanye khaazi (in John's voice)