Ukishajikuta umefungua uzi kama huu ujijue kabisa wewe ni irresponsible unapenda dezo na ulitaka kushiriki uhalifu kuliibia TANESCO (na wewe ni baba..)Na wewe ni baba ... Hiyo familia unayoiongoza itakuwa imepewa Chumba pale milembe
IDIOT & POYOYO HUYO!!Ban this idiot
Najiuliza kama kaoa mke alimkubalijeWewe ni kaongo aiseee
Wewe ni kiazi kweli Kama baba j.Ndugu mtanzania mwenzangu, najua unapenda sana vitu vya dezo, ila katika utawala huu itakubidi tu ulipie umeme kadri unavyoutumia. Watanzania tufanye khaazi (in John's voice)