Maxmax72
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 578
- 1,056
Majibu tafadhari..Shukran Kwa mwongozo mkuu, na vipi kuhusu vipindi vya Hali ya hewa hasa kipindi cha mvua, je ni miezi gani huwa biashara inakua vizuri sana, au haijalishi msimu?
Majibu tafadhari..Shukran Kwa mwongozo mkuu, na vipi kuhusu vipindi vya Hali ya hewa hasa kipindi cha mvua, je ni miezi gani huwa biashara inakua vizuri sana, au haijalishi msimu?
@JebelMajibu tafadhari..
Bro ebu sema ukwel degere ni sangara watoto na hairuusiwi kivua au kuuza degere
Polisi au mali asili (BMU)wakikushika na degere ni kesi tena kubwa mkuu
Degere nivisangara vidogo na ving huliwa na watu wenye uwezo mdogo na mda mwingne degere hutumika sana misiban sabu ni bei nafuu tofauti na sangara mkubwa bei yakw iko juu
Siwez kukubishia ila kanda ya ziwa na sisi tunakaa na tumewai kukaa derege ni sawa na bange
Ndugu yangu, Mimi ni mfanya biashara wa vipodozi, vipi huko naweza kwenda nakupata soko?
Mfano sabuni zakuogea,mafuta ya nywele na mafuta ya kupaka
Vipi mzunguko wa watu huko
Kuna kitu sijakuelewa mkuu,sasa hao samaki huchukua siku ngapi kukauka huko kisiwani kabla ya kuwaleta mjinHilo sikulifanyia uchunguzi rafiki kwa hiyo siwezi kusema lolote. Kama unaweza ni vema ukafika visiwa vikubwa kama Ghana na Goziba kule watu ni wengi na mzunguko wa pesa ni mkubwa sana. Fika fanya research ndo uamue. Kila jema
Asanteeee nakuja pm kufata mawasiliano yakoHilo sikulifanyia uchunguzi rafiki kwa hiyo siwezi kusema lolote. Kama unaweza ni vema ukafika visiwa vikubwa kama Ghana na Goziba kule watu ni wengi na mzunguko wa pesa ni mkubwa sana. Fika fanya research ndo uamue. Kila jema
Nakujibu kwa nilivyoelewa MimiKuna kitu sijakuelewa mkuu,sasa hao samaki huchukua siku ngapi kukauka huko kisiwani kabla ya kuwaleta mjin
Kama ni zaidi ya siku hayo mabondo hayaharibiki kabla hujafika mjini,je hayo mabondo unauzia mjini au kisiwani
Kumbe so unawauza wabichi au wakavuNakujibu kwa nilivyoelewa Mimi
Ukishanunua samaki unawahifadhi kwenye marafu kali, then unakuja nao mjini, mabondo unauzia mjini
Wiki ijayo itabidi niende mwanzaNakujibu kwa nilivyoelewa Mimi
Ukishanunua samaki unawahifadhi kwenye marafu kali, then unakuja nao mjini, mabondo unauzia mjini
Let's teamupWiki ijayo itabidi niende mwanza
Nimesoma Uzi week mbili zimepita, Sasa naingia front, tayari Niko njiani nililala Tinde. Mkuu naomba mawasiliano yako Kama hautojali
Sent using Jamii Forums mobile app
Let's teamup
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hamuwazi kama wafanya hiyo biashara mtaongezeka