Fagio la chuma liko wapi?

kakuruvi

JF-Expert Member
Sep 2, 2009
770
256
Enzi zile za Mzee Mwinyi alipewa nguvu iliyoitwa Fagio la Chuma iliyopelekea Marehemu Brg.Moses Nnauye kutunga wimbo 'usipowajibika ole wako utakumbwa na fagio la chuma' sikumbuki uliimbwa na bendi gani, nguvu hii Rais aliitumia kufagia na kusafisha serikali kwa maana ya kutumia madaraka aliyonayo kwa mujibu wa katiba kuwawajibisha watendaji wabovu serikalini.

Hivi lile fagio liko wapi? Ninachoomba kama Mzee Mwinyi aliondoka nalo liko Museum basi ampe Mwenzake Mh.Rais Kikwete naye alitumie kwani sasa hivi watendaji wabovu ni wengi zaidi ya wakati ule, nauliza tena ''fagio liko wapi?''
 
Enzi zile za Mzee Mwinyi alipewa nguvu iliyoitwa Fagio la Chuma iliyopelekea Marehemu Brg.Moses Nnauye kutunga wimbo 'usipowajibika ole wako utakumbwa na fagio la chuma' sikumbuki uliimbwa na bendi gani, nguvu hii Rais aliitumia kufagia na kusafisha serikali kwa maana ya kutumia madaraka aliyonayo kwa mujibu wa katiba kuwawajibisha watendaji wabovu serikalini.

Hivi lile fagio liko wapi? Ninachoomba kama Mzee Mwinyi aliondoka nalo liko Museum basi ampe Mwenzake Mh.Rais Kikwete naye alitumie kwani sasa hivi watendaji wabovu ni wengi zaidi ya wakati ule, nauliza tena ''fagio liko wapi?''

Hata enzi za mwalimu nyerere tuliimba sana huu wimbo, "Mnapojifichaaa, sisi twapajuaaa, Fagio la Chumaaa litazoa wengi". Lakini mpaka leo miaka 50 ya uhuru halizoi. Naona wameona tunatishia tu hatujui walipojificha hivyo wanakwapua tu.
 
Enzi zile za Mzee Mwinyi alipewa nguvu iliyoitwa Fagio la Chuma iliyopelekea Marehemu Brg.Moses Nnauye kutunga wimbo 'usipowajibika ole wako utakumbwa na fagio la chuma' sikumbuki uliimbwa na bendi gani, nguvu hii Rais aliitumia kufagia na kusafisha serikali kwa maana ya kutumia madaraka aliyonayo kwa mujibu wa katiba kuwawajibisha watendaji wabovu serikalini.

Hivi lile fagio liko wapi? Ninachoomba kama Mzee Mwinyi aliondoka nalo liko Museum basi ampe Mwenzake Mh.Rais Kikwete naye alitumie kwani sasa hivi watendaji wabovu ni wengi zaidi ya wakati ule, nauliza tena ''fagio liko wapi?''

Pamoja na Tanzania All Stars Band kutunga wimbo mzuri sana wa USIPOWAJIBIKA OLE WAKO na mbwembwe nyingi katika sherehe za kumkabidhi Mh Rais Mwinyi fagio la chuma, Mzee Mwinyi hakulitumia (hatukuona hatua zozote madhubuti za kufagia uozo uliokuwepo serikalini).

Wakumuuliza fagio lilitupwa wapi ni Rais Mstaafu Mwinyi! I hope anakumbuka walau kwamba ALIKABiDHIWA FAGIO HILO!
 
VIJANA JaZZ Band


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!

Ule wimbo hakutunga Nnauye (nisahihishe kama nimekosea). Ilikuwa composition ya wanamuziki waliounda kundi lkiliouimba-Tanzania All Stars. Kwa wenye kukuumbuka waliounda kundi hilo watusaidie kutukumbusha majina ya wanamuziki waliounda kundi.
 
Back
Top Bottom