Si unajua uzugu tena.wewe kama hujui ku hug toa mkono tu kwa salamu kama mimi, mimi siwezi kumhug mwanaume mwenzangu, huwa naona kinyaa kama nakula maviiii...ila kwa mwanamke, nahug kila mtu isipokuwa mama yangu mzazi, dada zangu, mashangazi na mamamkwe....