Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,917
- 71,497
Pumbaf kabisa! Yaani unamuibia mtu kisha akijitetea unamuuliza eti umechoka na amani?Wewe una tofauti gani na mtu ambaye ni zero brain anayewaza baba yake afe ili apate urithi bila kuuliza zilipatikanaje na alikuwa anaziendeshaje kabla ya kuombea mabaya,ni kipi cha muhimu unachokikosa katika taifa hili mpaka uombe njaa na ukijua nawe haitakuacha salama kamwe nakushauri kitu kama umechoka na amani iliyopo nenda Libya au Kongo au ikiwezekana nenda ulaya.
Shensy kabsa! Mwaka huu ujinga mwisho