Anna Deo
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 607
- 419
Iwapo tungekuwa tunalipia kila thread ambayo mtu anaanzisha, JF ingekuwa safi sana. Nway... kwenye msafara wa mamba huwezi kuzuia kenge...
Ili kuepukana na thread nyingi za kipuuzi naona mods wangefanya mchakato wa kulipia thread inayoanzishwa.huenda hili likaleta heshima mzito kabwela...maana imekuwa too much sasa