Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Bwana Kimbunga Shibuda yupo ktk microwave oven ya CHADEMA.uzuri wa microwave ni kwamba hakuna flame, na Kitu kinaanza iva tokea ndania baada ya ku nyonya mionzi, kupunguza energy na mionzi kushuka frequency na kuwa infrared ambayo ndio inapika.
Taratibu Shibuda ataanza iva kwa nje, na bishara itakuwa imekwisha.CCM ni wajinga sana na hawawezi mwokoa kwa vile hata akipiga kelele hawasikii kuwa anaungua kwa ndani.By the time wanamowna anabadilika rangi basi kazi takuwa .imekwisha hata umeme ukizima joto landnai alitakuwa linaivisha nje taratibu.Na kipindi hicho nyumba ya CCM itakuwa ikiwaka na hawatakuwa na muda wa kulipa madeni kw ahwa vibaraka wala kumwokoa mtu.
kwa sasa tutakachoon jinsi anabadili mikao as if anataka adjust kitu,ila hajui wapi ipo button
Taratibu Shibuda ataanza iva kwa nje, na bishara itakuwa imekwisha.CCM ni wajinga sana na hawawezi mwokoa kwa vile hata akipiga kelele hawasikii kuwa anaungua kwa ndani.By the time wanamowna anabadilika rangi basi kazi takuwa .imekwisha hata umeme ukizima joto landnai alitakuwa linaivisha nje taratibu.Na kipindi hicho nyumba ya CCM itakuwa ikiwaka na hawatakuwa na muda wa kulipa madeni kw ahwa vibaraka wala kumwokoa mtu.
kwa sasa tutakachoon jinsi anabadili mikao as if anataka adjust kitu,ila hajui wapi ipo button
Last edited by a moderator: