T_Dangote
Member
- Apr 23, 2019
- 23
- 28
Kuna tofauti kubwa sana ya priorities ya vijana wa mjini (Dar) na wa mikoani.
Vijana wa mikoani, wanaanza na viwanja, mashamba, nyumba, biashara.
Mafanikio ya kijana wa sasa
1.iPhone
2. Macbook
3. Subaru/alteza/vitz/mark-x/IST
4.demu
5. Double room with flat screen and fridge
Vijana wa mikoani, wanaanza na viwanja, mashamba, nyumba, biashara.
Mafanikio ya kijana wa sasa
1.iPhone
2. Macbook
3. Subaru/alteza/vitz/mark-x/IST
4.demu
5. Double room with flat screen and fridge