kuna sunscreen hadi ya 3500 bhana ๐๐๐ni dr james sijui dr darveyYan mm mwisho safar hii nahamia chimbo jipya Yan pale sunscreen had elf 10 my wangu laki unapata kilakitu full kuanzia face wash nineziona dermoviva face cleanser nitaanza kuchunguza ingredient tuhame vovi
ndo maana inatakiwa wapenzi wenu wakiwaomba hela muwape mambo ni mengi sanayaaan!!!! Vitu kama 30 hivi vinapakwa usoni...
Hiyo kiboko Dr rashel ni elf 10 kunasehemu nimezikuta elf 20๐๐kuna sunscreen hadi ya 3500 bhana ๐๐๐ni dr james sijui dr darvey
Mchawi ni Mafuta ya Afro care ya buku. Ndo mpaka mwezi mzima hapo. Kweli uanamke kaziyaaan!!!! Vitu kama 30 hivi vinapakwa usoni...
๐๐๐ me sizitaki product zao nikashaona dr nani sijui sitak tena๐๐Hiyo kiboko Dr rashel ni elf 10 kunasehemu nimezikuta elf 20๐๐
Huyu dda alitangaza tiba yake ya asili hapa jF, hii ni kiboko ya kila tatizo la ngozi, au kwa tiba au kwa urembo tu:Hello, wapenzi wangu kama mnavyojua nyuso zetu zinakumbana na changamoto nyingi,kma chunusi, makovu, weusi kwenye macho na mambo mengi kutokana na sababu mbalimbali kama hormones, jua, vyakula n.k ambazo zinapelekea kuharibu nyuso zetu.
Hivyo basi ili kuweza kuhakikisha nyuso zetu zinabaki kua nzuri za kuvutia tunatakiwa kua na utaratibu wa kuhudumia nyuso zetu wngine wanasema wanafanya facial treatment, wengine wanaenda kwenye masaluni yanayotoa huduma izo but kuna wengine wanafanya nyumbani, so let's share together unafanya nini kutibu uso wako?
Binafsi mimi nafanya facial treatment mara 2 kwa wiki au mara 1 hasa nikiwa busy sana but most time nafanya mara 2 kwa wk.
1.naosha uso wangu na sabuni au face wash( uso wangu ni wa mafuta hasa mashavuni na kwny paj la uso)
2.Najifusha/facial steaming
3.Nafanya scrub,apa mimi mara nying natumia manjano na liwa na mix na asali,au kuna siku natumia mtind badala ya asali, namix nasugulia usoni then nakaa kwa dk 15 nanawa na maji barid ya kwnye fridge sometimes
4.Baada ya apa naendelea na taratibu nyingine ntafanya massage ya uso then ntapak serum after seconds ntapaka lotion yangu imeisha iyo.
So ebu share nasi jinsi unavyotibu uso wako,tushauriane pia tips kulingana na aina za ngozi zetu.
๐๐๐ me sizitaki product zao nikashaona dr nani sijui sitak tena๐๐
Kwanini hutaki ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Bila kapicha uzi ni batili๐คฃ๐Hello, wapenzi wangu kama mnavyojua nyuso zetu zinakumbana na changamoto nyingi,kma chunusi, makovu, weusi kwenye macho na mambo mengi kutokana na sababu mbalimbali kama hormones, jua, vyakula n.k ambazo zinapelekea kuharibu nyuso zetu.
Hivyo basi ili kuweza kuhakikisha nyuso zetu zinabaki kua nzuri za kuvutia tunatakiwa kua na utaratibu wa kuhudumia nyuso zetu wngine wanasema wanafanya facial treatment, wengine wanaenda kwenye masaluni yanayotoa huduma izo but kuna wengine wanafanya nyumbani, so let's share together unafanya nini kutibu uso wako?
Binafsi mimi nafanya facial treatment mara 2 kwa wiki au mara 1 hasa nikiwa busy sana but most time nafanya mara 2 kwa wk.
1.naosha uso wangu na sabuni au face wash( uso wangu ni wa mafuta hasa mashavuni na kwny paj la uso)
2.Najifusha/facial steaming
3.Nafanya scrub,apa mimi mara nying natumia manjano na liwa na mix na asali,au kuna siku natumia mtind badala ya asali, namix nasugulia usoni then nakaa kwa dk 15 nanawa na maji barid ya kwnye fridge sometimes
4.Baada ya apa naendelea na taratibu nyingine ntafanya massage ya uso then ntapak serum after seconds ntapaka lotion yangu imeisha iyo.
So ebu share nasi jinsi unavyotibu uso wako,tushauriane pia tips kulingana na aina za ngozi zetu.
Pharmacy at least inakuwa 85/100 tofauti na cosmetic shops๐๐๐shida ni kwamba unaweza toa hela kubwa ukahidi unanunua Og kumbe unanunua feki kwa bei ya Og
View attachment 2976036
imagine hiyo yote eti 25k we huogopi๐๐
eeh atleast pharmacyPharmacy at least inakuwa 85/100 tofauti na cosmetic shops
sasa ndo product nying za Dr siitaki kabisa๐๐ngozi enyewe naibembeleza mnoo haina shukraniKwanza kitu kikishakuwa whitening ni cha kukimbia bila kuangalia nyuma ๐คฃ
Vovi wametuweza jamani๐คฃ๐คฃYan mm mwisho safar hii nahamia chimbo jipya Yan pale sunscreen had elf 10 my wangu laki unapata kilakitu full kuanzia face wash nineziona dermoviva face cleanser nitaanza kuchunguza ingredient tuhame vovi
Unai cleanse na nini?sasa ndo product nying za Dr siitaki kabisa๐๐ngozi enyewe naibembeleza mnoo haina shukrani
nimehamia kwa Cera Ve na natumia qasi powder ndo atleastUnai cleanse na nini?
Usoni au?hapa nafumba macho nikafanye cabon laser mwisho wa mwezi darkspot ni nyingi sana ๐