facebook waungana na microsoft waanzisha graph search, kucompete na google

facebook waungana na microsoft waanzisha graph search, kucompete na google

Chief-Mkwawa

Platinum Member
Joined
May 25, 2011
Posts
32,073
Reaction score
43,520
facebook na wao wameamua kuingia kwenye game la search engine na kuanzisha huduma yao mpya ya kusearch picha, location ,jobs. Naona huu ni mwendelezo wa vita vya facebook na google maana wamekutana wote wawili ni advertisement giant.

Search engine hii wameungana na microsoft (microsoft ana share kama 2% facebook) na kuitengeneza.

Kwa muono wangu itakua nzuri sana na nafkiri itaturusha watanzania na waafrica wengi ambao information zetu hazipo internet. Facebook wamesema wataangalia privacy wataonesha vitu tu unavyotaka wewe mwenyewe vionyeshwe.

Je nini kipya kwenye hii search mpya ya facebook?

wana data zetu toka facebook ilipoanzishwa
kwa kutumia hii search engine utapata data za watu wengi mfano nasearch kuhusu watu wanaopenda kitabu cha alfu lela u lela then kutokana na data za watu walioandika kwenye information zao kuhusu kile kitabu ntawapata wote.

Au mfano mwengine nasearch watu wanaofanya kazi bot then wafanyakazi wote wa bot ntawapata ambao walieka data zao fb.

So hiki kitu ni unique na huwezi kipata search engine yoyote hapa ndo fb wamepiga bao.

very acurate search engine
facebook pia wameifanya search engine yao kua acurate kwa kueka vitu kama muda, location na vitu kama hivyo.

Mfano naweza kusearch picha za mtotosix facebook alizo upload kuanzia january hadi june then nkazipata instant.

wameungana na bing
unapozungumzia search engine ambayo ni nzuri kama google bila shaka ni bing. So facebook wao incase kitu kimekosekana kwenye search engine yao utakua directed kwenda bing.

Je unataka kuitumia????

Kama unataka kuitumia sasa hivi milango ipo wazi kwa watu kuijaribu wanaotakiwa kujaribu ni wale wanaojua kingereza ingia link hapo chini

https://www.facebook.com/about/graphsearch
 
mbona hawa google wenye ukisearch mfano jina linakuletea na info za fb labda hicho kitu cha kuonesha activities ndio so amazing na hizi search engine zingine..
 
sidhani kama inaweza fanya vizuri zaidi kuliko google :ranger: wa cha tusubiri tushuhudie
 
mbona hawa google wenye ukisearch mfano jina linakuletea na info za fb labda hicho kitu cha kuonesha activities ndio so amazing na hizi search engine zingine..

mkuu google wana data za profile name na page za fb tu.
 
Sidhani kama wataukanyaga moto wa google, yangu macho.

mkuu strategically hivi si vita vya search engine bali ni vita vya matangazo.

Facebook wanakuja juu sana kwenye matangazo then now wameoffer information za watu ndo kabisaa wamewaloga. Maana watupia matangazo ya net wanataka information za watu ili waweze kuplace matangazo according na information.

Mfano wameona location yangu dodoma then nafanya kazi tamisemi mda wa lunch sa 7 basi wanantupia katangazo ka restaurant ka karibu.

So hapa vita vikubwa sanaaaa
 
technology utaipenda tu! Anything that can b done with hardware can also b done wit software. Twende kazi

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Wamesema utaweza ku search picha au post yako yoyote ktk facebook.
 
Chezea Google wewe?Waulize Apple, pumzi zimeanza kuwaisha....usipime!
 
facebook na wao wameamua kuingia kwenye game la search engine na kuanzisha huduma yao mpya ya kusearch picha, location ,jobs. Naona huu ni mwendelezo wa vita vya facebook na google maana wamekutana wote wawili ni advertisement giant.

Search engine hii wameungana na microsoft (microsoft ana share kama 2% facebook) na kuitengeneza.

Kwa muono wangu itakua nzuri sana na nafkiri itaturusha watanzania na waafrica wengi ambao information zetu hazipo internet. Facebook wamesema wataangalia privacy wataonesha vitu tu unavyotaka wewe mwenyewe vionyeshwe.

Je nini kipya kwenye hii search mpya ya facebook?

wana data zetu toka facebook ilipoanzishwa
kwa kutumia hii search engine utapata data za watu wengi mfano nasearch kuhusu watu wanaopenda kitabu cha alfu lela u lela then kutokana na data za watu walioandika kwenye information zao kuhusu kile kitabu ntawapata wote.

Au mfano mwengine nasearch watu wanaofanya kazi bot then wafanyakazi wote wa bot ntawapata ambao walieka data zao fb.

So hiki kitu ni unique na huwezi kipata search engine yoyote hapa ndo fb wamepiga bao.

very acurate search engine
facebook pia wameifanya search engine yao kua acurate kwa kueka vitu kama muda, location na vitu kama hivyo.

Mfano naweza kusearch picha za mtotosix facebook alizo upload kuanzia january hadi june then nkazipata instant.

wameungana na bing
unapozungumzia search engine ambayo ni nzuri kama google bila shaka ni bing. So facebook wao incase kitu kimekosekana kwenye search engine yao utakua directed kwenda bing.

Je unataka kuitumia????

Kama unataka kuitumia sasa hivi milango ipo wazi kwa watu kuijaribu wanaotakiwa kujaribu ni wale wanaojua kingereza ingia link hapo chini

https://www.facebook.com/about/graphsearch
Unatisha watu sasa yule waziri wetu wa naniii ataitumia sasa hiyo???:whoo::mmph::A S-confused1::faint:
 
tusubiri nao google watakuja na nin kdadeki vita vyao raha kwetu watazamaji na watumiaji wakubwa tusiosumbua vichwa kubuni tunasubiria kubuniwa na kuwatajirisha#japo vna manufaa pia kwetu.
 
ile bing iliishia wapi??? ni search engine ya wamarekani walikua wanaipaisha sana ila ilikua haina data nyingi
 
ile bing iliishia wapi??? ni search engine ya wamarekani walikua wanaipaisha sana ila ilikua haina data nyingi

mkuu bing ipo na inakua kila siku. Bing ni ya microsoft ni ya kimarekani sawa lakini google pia ni ya wamarekani.

Hii patnership ni ya bing na facebook nimesema microsoft ili watu waelewe haraka tu.

Websearch zitafanywa na bing na vitu vyengine watafanya wenyewe fb.

Kuhusu suala la bing kua na data chache si kweli bing ni kubwa na nzuri kuliko google. Microsoft wapo very strict kwenye kusubmit vitu kwao google wao wapo free kusubmit thats why google wana vitu kama malware, scams nyingi kwenye huduma zao.

Angalia google ukisearch kuna website kama software informer, ptf, dl112 na viwebsite kibao ambavyo ukisearch google navyo vinasearch halafu vinajifanya vina vitu vile unavosearch vinavyo kumbe hawana ukiclick unakuta matangazo, upuuzi huu bing hamna
 
Google still the best search engine!! Sio mchezo kabisa.....
 
Back
Top Bottom