First and foremost hiyo feature haikuwepo kipindi hicho. Pili, Ni option kuweka bendera ya France sio lazima l, FB haimbadilishii mtu yeyote profile pic yake.
Huwezi kumchagulia mtu msiba wa kulia au kutokulia, kuna wengine wanaguswa zaidi na ugaidi uliotokea France kuliko ule wa Kenya au nchi zingine hivyo wanaonyesha solidarity zao kwa namna moja au nyingine kwa matukio yanayowagusa zaidi.