Facebook imeniliza

Facebook imeniliza

I just want to know your name....follow me on twitter and be my friend on facebook...
Umeshawahi kusikia huu wimbo?
nimeusikia lakini sio kwa lugha ya kizungu.Nalog off
 
Najua inafurahisha kwani unakutana na watu mbalimbali. Hasa wewe ambaye uko nje ya TZ. Ukilog on.... Unawaona baadhi ya rafiki zako. Sijui labda uingie kwenye groups utapata mambo ya maana..na yenyewe inategemea na group. Ukiwa maarufu kulizwa ni rahisi pia,maana kule wengi wanaweka majina yao halisi na picha. Humu JF tunashare ideas,mitazamo,na kushauriana mambo mbalimbali, kiuchumi,siasa,kijamii n.k. Na tunafundishana vitu vipya.Mfano mimi kwa kutumia tech forum, vocha yangu haiishi sana, natumia opera mini, kitu ambacho sikukijua hapo mwanzo. Otherwise. Wasalimie Wareno na ma-antigue!
sera entrega,ni kweli mkuu JF ni babkubwa 😛oamaana tunakandiana,tunashushuana na mengine mengi kwasababu tuko kininjaninja ni vigumu kujulikana.Nalog off
 
pole kwa kuanza kula dawa mpya ya kulevya ya face book...hii kitu ikikukolea huachi kila siku un log on...
nakuambia ila mie nilikuwa mteja wa darhotwire kipindi kile cha chatroom,lakini kwasasa siukubali uteja wa site yoyote.Nalog off
 
hahahahahahahahahahahahaha sio hivyo mkuu kulia kwa furaha kama pale unapofurahia timu yenu kuchukua ubingwa unafurahi mpaka unatoka na machozi.Nalog off

Sawa mkuu, nilikuwa najoki tu. Hata mimi nitafurahi hivyo siku YNWA itakapotwa ubingwa wa EPL.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom