Facebook imeniliza

Najua inafurahisha kwani unakutana na watu mbalimbali. Hasa wewe ambaye uko nje ya TZ. Ukilog on.... Unawaona baadhi ya rafiki zako. Sijui labda uingie kwenye groups utapata mambo ya maana..na yenyewe inategemea na group. Ukiwa maarufu kulizwa ni rahisi pia,maana kule wengi wanaweka majina yao halisi na picha. Humu JF tunashare ideas,mitazamo,na kushauriana mambo mbalimbali, kiuchumi,siasa,kijamii n.k. Na tunafundishana vitu vipya.Mfano mimi kwa kutumia tech forum, vocha yangu haiishi sana, natumia opera mini, kitu ambacho sikukijua hapo mwanzo. Otherwise. Wasalimie Wareno na ma-antigue!
 
wakuu hii site nilikuwa siifuatilii kihivyo,leo nikaamua ngoja niingie nikajionee kunani huko facebook,huwezi amini nimekutana na ma school mate wangu kibaooo ambao nimepoteana nao kwa zaidi ya kiaka 20 sasa,aisee nimefarijika sana na kujiona kama vile niko nyumbani na kuanza kutoka na machozi. Nawashauri wale ambao mmepoteana kwa muda mrefu mnaweza mkapatana kule. ila JF:poa ndio mwisho wa matatizo kwasababu hatuonani tunapakana tu.TANZANIA KWANZA.Nalog off

upupu!
 
I just want to know your name....follow me on twitter and be my friend on facebook...
Umeshawahi kusikia huu wimbo?
 
mi wananikosa kwa sababu mpaka fb natumia nickname tu.. tatizo nilianzia goal.com/forums na baadae jf kwa hiyo imenipelekea mpaka kutumia nickname hadi facebook..
 
mi wananikosa kwa sababu mpaka fb natumia nickname tu.. tatizo nilianzia goal.com/forums na baadae jf kwa hiyo imenipelekea mpaka kutumia nickname hadi facebook..
lakini wewe si unawasoma vizuri bila wao kujijua?Nalog off
 
Sasa mkuu kimekuliza nini wakati wote wapo hai kama ungekuta wamefariki sijui ungefanyaje..nalog Out
aisee ni miaka mingi mnoooo mie sikutegemea kama hawa watu nitaonana nao tena katika maisha yangu ila ndio nimewaoona hapo,nimelia kwa furaha kaka.Nalog off
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom