Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,974
- 13,430
sihami ng'o nitakuwa naenda kuwapa hi wana halafu nakuwepo humu kijengoni.Nalog offUnahamia lini?! Nalog of!!
ni kweli sijabadilisha mwandiko wangu ndio ule ule?Nalog offAaah kumbe ndo wewe mwana? Nilikuwa nafananisha mwandiko wako sikuzote, kama uleeeeh wa primary mpaka mwalimu akawa anakuchapa kisa mbaya.
eh bana eh! kumbe tumebukua wote?Nalog offunatumia jina gani kule?hata mimi nimesoma nawe
yaani mie toka nimezaliwa ndio nimeingia leo,nakuktana na hiyo furaha ya marafiki zangu hawa,ila kama unaonana nao kila siku basi hakuna maana ila kama uko mbali nao nakushauri uende ili nawe ufurahi kama nilivyofurahi mimi leo.Nalog offSitumii mimi hiyo fesibuku.
tatizo lilikuwa nini mpaka ukalia?Nalog offHuishi vioja,bora wewe imekuliza kilio cha furaha mwenzako nimesaga meno kwa huzuni hyo fb hata hamu sina
hamna shaka nitawataarifu kuhusu JF.Nalog offwashauri hao rafiki zako wahamie JF; hakikisha wana creative minds; kinyume cha hapo wabaki huko huko fb.
facebook mpaka uliyesoma chekechea unampata
tatizo lilikuwa nini mpaka ukalia?Nalog off
pole kwa kuanza kula dawa mpya ya kulevya ya face book...hii kitu ikikukolea huachi kila siku un log on...wakuu hii site nilikuwa siifuatilii kihivyo,leo nikaamua ngoja niingie nikajionee kunani huko facebook,huwezi amini nimekutana na ma school mate wangu kibaooo ambao nimepoteana nao kwa zaidi ya kiaka 20 sasa,aisee nimefarijika sana na kujiona kama vile niko nyumbani na kuanza kutoka na machozi. Nawashauri wale ambao mmepoteana kwa muda mrefu mnaweza mkapatana kule. ila JF😛oa ndio mwisho wa matatizo kwasababu hatuonani tunapakana tu.TANZANIA KWANZA.Nalog off