Facebook imefungwa

Facebook imefungwa

King_Villa

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
575
Reaction score
380
wakuu kuna jamaa hapa amefunga mtandao wa facebook hapa kambini eti kwa kigezo wanafunzi wasifungue website hiyo,,lakini website zingine zote zipo flesh sasa mi nataka niingie kidogo ....hakuna ujanja wa kufungua hapo ...heshima kwenu wakuu....:confused2::confused2::confused2:
 
Soma ..facebook ya nini mkuu....kwani ni wireless network au?
 
jaribu kuanza na https:// af ndo uandike facebook.com iwe kama hivi
Code:
https://facebook.com
 
Labda angeifungia JF ndio ulitakiwa ulalamike, maana usingepata sehemu ya kulalamikia matatizo ya kibongo
 
Ningekuwa Admin wenu nisingeifunga. Ningegawa kila mtu na ID yake halafu ID itakayoingia FB terms na condition ni kuwa inafungwa... kwisha habari yenu! Mngesoma tu lol 🙂
 
Hivi siku hizi vyuoni kuna topic inaitwa facebbook?
 
unaweza ukafeli tu hata kama fb haipo, swala hapo ni akili ya mtu kuwa na uwezo wa kujitambua nyingine kelele 2 .........
 
Kabla ya kusaidiwa ni vizuri ungetueleza kwanini fb hapo kambini imefungwa ili tujue yawezekana wamefunga kwa nia nzuri nanyi au kwa nia mbaya
 
kuna watu hapa kambini wanatumia fb all the tm yani even wakati mwalimu anafundisha akili yao haiko active kumsikiliza mwalimu hiyo ndio sababu kuu ya wao kufunga ....ila mimi najitambua....
 
Back
Top Bottom