Facebook hizi .... !

Facebook hizi .... !

kumbe unahisia tu? Ruksa...!
Ni hivi binti tumetoka naye (wilaya moja) na kabla sijampa hizo hela nilimdadisi vya kutosha mpaka kumwamini, mfano kunadadayake (dadayake namfahamu hata mimi ni nesi hospital ya wilayani kwetu) ilibidi tumpigia na kumwambia ukwer kilichotokea na yeye kaniomba nimsaidie mdogo wake. Unajua huwezi ukaandika kla ktu hum jf.
Na kwa taarifa binti tumerudi naye na dadayake kashanirudishia hela zangu.

Haya hongera...
 
Tatizo kubwa kamsela kanadai kurudishiwa gharana ya pesa kalizokuwa kanamtumi kama laki 5 hivi, kisa kakakataa na hataki kuondoka nako na kameng'ang'ania bengi lake.
Anakabembeleza kuwa atakarushia hela mara arudipo kajamaa kanadai atakadhurumu....

kajamaa kalitumaje pesa bila ya kuwa na uhakika kama demu hatoingia mitini?

if you must lie, be brief.. thats why adverts dont take long
 
Nimeshuhudia kituko.
Sidhani kama naweza kukiona/kukishuhudia tena.
Leo Nimesafiri na bint tukiwa siti jirani, da...! ni mrembo si kwa sura tu, bali hata mavazi yake. Anasitahili kuitwa mrembo.

Nilimkuta akiwa amekaa, kumsalimia akaitikia kwa nyodo sana da..! nikaachana naye.

Ndani ya safari ilikuwa kero kwani kila baada ya kama dakka30, alikuwa akipokea simu na kila alipopigiwa aliongea lugha ambayo iliashiria kuongea na mpenzi wake tena kwa sauti ya juu, wakimaliza kuongea wanaaza kuchati kwa sms zilizoendana na vicheko.

Ilifikia hatua ikawa kero siyo kwangu tu hata majirani walianza kumwangalia kwa nyuso zilizoashiria kukereka, maana bila aibu, binti alikuwa anatumia lugha ya kimahaba tena kwa sauti ambayo kwa mtu asiye rimbukeni wa mapenzi hawezi kuitumia mbele ya kadamnasi. Mfano(han nipo jian..., usijar nipo kwa ajir yako, mpaka na kukisiana ndani ya basi ....da!).

ilifikia hatua nikakosa uvumilivu nikamweleza angalau awe anapunguza sauti pindi awasilianapo" biti akaniambia nimkome.

Iliniuma ila nikakaa zangu kimya,
Safari iliendelea mpaka kufika, tukashuka,

binti alikuwa ameshapiga simu kwa mshikaji kuwa amefika.

Kama nusu saa hivi ikapita nikiwa bado, maeneo ya stendi nikaona kama sitofahamu ya watu wawili, kucheki vizuri, ni yule binti na kamsela kafupi kichizi (asili ya mbilikimo),nikasogea binti kuniona si kaaza kuniita kaka nisaidie....
Tatizo kubwa kamsela kanadai kurudishiwa gharana ya pesa kalizokuwa kanamtumi kama laki 5 hivi, kisa kakakataa na hataki kuondoka nako na kameng'ang'ania bengi lake.
Anakabembeleza kuwa atakarushia hela mara arudipo kajamaa kanadai atakadhurumu....!

ukweri binti alikuwa anatoa machozi na aibu kubwa kutokana na uwingi wa watu waliokuwa wanamzomea na kukashabikia kajamaa kamchukue, binti ikabidi kunibembeleza nikalipe kajamaa pesa ili aje kunirudishia tukirudi.

kwa sababu na mimi sikuwa na pesa yote hiyo,ilibidi akape simu na lak 330,000/TSH ambazo nilimkopesha, nilizokuwa nazo. Kajamaa kukapa hela kakabadilika tena, heti hakataki hela bali kanataka demu wake..!

kakaaza kulia na kudai nimekanyang'anya demu , watu si wakaaza kukashabikia tena heti kanirudishie hizo hela na mimi nikape demu wa kenyewe, kajama kakaaza kumpigia magoti mwanamke akasamehe kama kamemkosea da ilikuwa patashika.,. Yaliisha lakini mi mwenyewe nilioja cha moto kwa kuzomewa na wapiga dembe wa stendi.

Baadaye kukaa naye binti faragha anadai walifahamiana kwa njia ya Facebook. Na ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kutembeleana.

Nilitumia simu yangu kuingi kwenye akaunti yake kamsela kaliweka picha za jamaa wengine kwenye profile.

huu ni uongo uliojaa uongo
 
Nimeshuhudia kituko.
Sidhani kama naweza kukiona/kukishuhudia tena.
Leo Nimesafiri na bint tukiwa siti jirani, da...! ni mrembo si kwa sura tu, bali hata mavazi yake. Anasitahili kuitwa mrembo.

Nilimkuta akiwa amekaa, kumsalimia akaitikia kwa nyodo sana da..! nikaachana naye.

Ndani ya safari ilikuwa kero kwani kila baada ya kama dakka30, alikuwa akipokea simu na kila alipopigiwa aliongea lugha ambayo iliashiria kuongea na mpenzi wake tena kwa sauti ya juu, wakimaliza kuongea wanaaza kuchati kwa sms zilizoendana na vicheko.

Ilifikia hatua ikawa kero siyo kwangu tu hata majirani walianza kumwangalia kwa nyuso zilizoashiria kukereka, maana bila aibu, binti alikuwa anatumia lugha ya kimahaba tena kwa sauti ambayo kwa mtu asiye rimbukeni wa mapenzi hawezi kuitumia mbele ya kadamnasi. Mfano(han nipo jian..., usijar nipo kwa ajir yako, mpaka na kukisiana ndani ya basi ....da!).

ilifikia hatua nikakosa uvumilivu nikamweleza angalau awe anapunguza sauti pindi awasilianapo" biti akaniambia nimkome.

Iliniuma ila nikakaa zangu kimya,
Safari iliendelea mpaka kufika, tukashuka,

binti alikuwa ameshapiga simu kwa mshikaji kuwa amefika.

Kama nusu saa hivi ikapita nikiwa bado, maeneo ya stendi nikaona kama sitofahamu ya watu wawili, kucheki vizuri, ni yule binti na kamsela kafupi kichizi (asili ya mbilikimo),nikasogea binti kuniona si kaaza kuniita kaka nisaidie....
Tatizo kubwa kamsela kanadai kurudishiwa gharana ya pesa kalizokuwa kanamtumi kama laki 5 hivi, kisa kakakataa na hataki kuondoka nako na kameng'ang'ania bengi lake.
Anakabembeleza kuwa atakarushia hela mara arudipo kajamaa kanadai atakadhurumu....!

ukweri binti alikuwa anatoa machozi na aibu kubwa kutokana na uwingi wa watu waliokuwa wanamzomea na kukashabikia kajamaa kamchukue, binti ikabidi kunibembeleza nikalipe kajamaa pesa ili aje kunirudishia tukirudi.

kwa sababu na mimi sikuwa na pesa yote hiyo,ilibidi akape simu na lak 330,000/TSH ambazo nilimkopesha, nilizokuwa nazo. Kajamaa kukapa hela kakabadilika tena, heti hakataki hela bali kanataka demu wake..!

kakaaza kulia na kudai nimekanyang'anya demu , watu si wakaaza kukashabikia tena heti kanirudishie hizo hela na mimi nikape demu wa kenyewe, kajama kakaaza kumpigia magoti mwanamke akasamehe kama kamemkosea da ilikuwa patashika.,. Yaliisha lakini mi mwenyewe nilioja cha moto kwa kuzomewa na wapiga dembe wa stendi.

Baadaye kukaa naye binti faragha anadai walifahamiana kwa njia ya Facebook. Na ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kutembeleana.

Nilitumia simu yangu kuingi kwenye akaunti yake kamsela kaliweka picha za jamaa wengine kwenye profile.

kwel ma.zuzu mko wengi jamaa yaan na kero zote hizo bado ukaamua kumkopesha kweli ulijipendekeza vyakutosha..
 
Vipi mkuu, umekula na wewe mzigo? Make najua nawe 'alikuhifadhi' baada ya wewe 'kumhifadhi' kutoka kwenye dhoruba ya jamaa, hahahahaaaaaaa (just joking)!
Nimeshuhudia kituko.
Sidhani kama naweza kukiona/kukishuhudia tena.
Leo Nimesafiri na bint tukiwa siti jirani, da...! ni mrembo si kwa sura tu, bali hata mavazi yake. Anasitahili kuitwa mrembo.

Nilimkuta akiwa amekaa, kumsalimia akaitikia kwa nyodo sana da..! nikaachana naye.

Ndani ya safari ilikuwa kero kwani kila baada ya kama dakka30, alikuwa akipokea simu na kila alipopigiwa aliongea lugha ambayo iliashiria kuongea na mpenzi wake tena kwa sauti ya juu, wakimaliza kuongea wanaaza kuchati kwa sms zilizoendana na vicheko.

Ilifikia hatua ikawa kero siyo kwangu tu hata majirani walianza kumwangalia kwa nyuso zilizoashiria kukereka, maana bila aibu, binti alikuwa anatumia lugha ya kimahaba tena kwa sauti ambayo kwa mtu asiye rimbukeni wa mapenzi hawezi kuitumia mbele ya kadamnasi. Mfano(han nipo jian..., usijar nipo kwa ajir yako, mpaka na kukisiana ndani ya basi ....da!).

ilifikia hatua nikakosa uvumilivu nikamweleza angalau awe anapunguza sauti pindi awasilianapo" biti akaniambia nimkome.

Iliniuma ila nikakaa zangu kimya,
Safari iliendelea mpaka kufika, tukashuka,

binti alikuwa ameshapiga simu kwa mshikaji kuwa amefika.

Kama nusu saa hivi ikapita nikiwa bado, maeneo ya stendi nikaona kama sitofahamu ya watu wawili, kucheki vizuri, ni yule binti na kamsela kafupi kichizi (asili ya mbilikimo),nikasogea binti kuniona si kaaza kuniita kaka nisaidie....
Tatizo kubwa kamsela kanadai kurudishiwa gharana ya pesa kalizokuwa kanamtumi kama laki 5 hivi, kisa kakakataa na hataki kuondoka nako na kameng'ang'ania bengi lake.
Anakabembeleza kuwa atakarushia hela mara arudipo kajamaa kanadai atakadhurumu....!

ukweri binti alikuwa anatoa machozi na aibu kubwa kutokana na uwingi wa watu waliokuwa wanamzomea na kukashabikia kajamaa kamchukue, binti ikabidi kunibembeleza nikalipe kajamaa pesa ili aje kunirudishia tukirudi.

kwa sababu na mimi sikuwa na pesa yote hiyo,ilibidi akape simu na lak 330,000/TSH ambazo nilimkopesha, nilizokuwa nazo. Kajamaa kukapa hela kakabadilika tena, heti hakataki hela bali kanataka demu wake..!

kakaaza kulia na kudai nimekanyang'anya demu , watu si wakaaza kukashabikia tena heti kanirudishie hizo hela na mimi nikape demu wa kenyewe, kajama kakaaza kumpigia magoti mwanamke akasamehe kama kamemkosea da ilikuwa patashika.,. Yaliisha lakini mi mwenyewe nilioja cha moto kwa kuzomewa na wapiga dembe wa stendi.

Baadaye kukaa naye binti faragha anadai walifahamiana kwa njia ya Facebook. Na ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kutembeleana.

Nilitumia simu yangu kuingi kwenye akaunti yake kamsela kaliweka picha za jamaa wengine kwenye profile.
 
kumbe unahisia tu? Ruksa...!
Ni hivi binti tumetoka naye (wilaya moja) na kabla sijampa hizo hela nilimdadisi vya kutosha mpaka kumwamini, mfano kunadadayake (dadayake namfahamu hata mimi ni nesi hospital ya wilayani kwetu) ilibidi tumpigia na kumwambia ukwer kilichotokea na yeye kaniomba nimsaidie mdogo wake. Unajua huwezi ukaandika kla ktu hum jf.
Na kwa taarifa binti tumerudi naye na dadayake kashanirudishia hela zangu.

ukizidi kuadithia ndo utaaribu kabisa...
 
kumbe unahisia tu? Ruksa...!
Ni hivi binti tumetoka naye (wilaya moja) na kabla sijampa hizo hela nilimdadisi vya kutosha mpaka kumwamini, mfano kunadadayake (dadayake namfahamu hata mimi ni nesi hospital ya wilayani kwetu) ilibidi tumpigia na kumwambia ukwer kilichotokea na yeye kaniomba nimsaidie mdogo wake. Unajua huwezi ukaandika kla ktu hum jf.
Na kwa taarifa binti tumerudi naye na dadayake kashanirudishia hela zangu.

nesi kafanye kazi yako, taaluma ya uandishi sio fani yako
 
hii ndo ile tulikuwa tunaitkia ... hadith hadithi njoo utam kolea ...hapo zaman za kale....
 
kumbe wewe ni atm inayotembea ..kastor katamu ungepunguza dau tungekuamini angalau 15%kwel ungefanya hata alikuwa akidaiwa 20000/15000/10000 alaf ukamsaidia hapo sawa/....yan hako kambilikmo kamgharamie mtu laki tano bla kumjua alafu na wewe umlipie mtu laki tatu bla sababu na huku kashakujibu shiit kwa daldala.... tafuta watoto wa nursery wadanganyee upuuz huu wakiusapot njoo hapa tutakusapot pia
 
Nimeshuhudia kituko.
Sidhani kama naweza kukiona/kukishuhudia tena.
Leo Nimesafiri na bint tukiwa siti jirani, da...! ni mrembo si kwa sura tu, bali hata mavazi yake. Anasitahili kuitwa mrembo.

Nilimkuta akiwa amekaa, kumsalimia akaitikia kwa nyodo sana da..! nikaachana naye.

Ndani ya safari ilikuwa kero kwani kila baada ya kama dakka30, alikuwa akipokea simu na kila alipopigiwa aliongea lugha ambayo iliashiria kuongea na mpenzi wake tena kwa sauti ya juu, wakimaliza kuongea wanaaza kuchati kwa sms zilizoendana na vicheko.

Ilifikia hatua ikawa kero siyo kwangu tu hata majirani walianza kumwangalia kwa nyuso zilizoashiria kukereka, maana bila aibu, binti alikuwa anatumia lugha ya kimahaba tena kwa sauti ambayo kwa mtu asiye rimbukeni wa mapenzi hawezi kuitumia mbele ya kadamnasi. Mfano(han nipo jian..., usijar nipo kwa ajir yako, mpaka na kukisiana ndani ya basi ....da!).

ilifikia hatua nikakosa uvumilivu nikamweleza angalau awe anapunguza sauti pindi awasilianapo" biti akaniambia nimkome.

Iliniuma ila nikakaa zangu kimya,
Safari iliendelea mpaka kufika, tukashuka,

binti alikuwa ameshapiga simu kwa mshikaji kuwa amefika.

Kama nusu saa hivi ikapita nikiwa bado, maeneo ya stendi nikaona kama sitofahamu ya watu wawili, kucheki vizuri, ni yule binti na kamsela kafupi kichizi (asili ya mbilikimo),nikasogea binti kuniona si kaaza kuniita kaka nisaidie....
Tatizo kubwa kamsela kanadai kurudishiwa gharana ya pesa kalizokuwa kanamtumi kama laki 5 hivi, kisa kakakataa na hataki kuondoka nako na kameng'ang'ania bengi lake.
Anakabembeleza kuwa atakarushia hela mara arudipo kajamaa kanadai atakadhurumu....!

ukweri binti alikuwa anatoa machozi na aibu kubwa kutokana na uwingi wa watu waliokuwa wanamzomea na kukashabikia kajamaa kamchukue, binti ikabidi kunibembeleza nikalipe kajamaa pesa ili aje kunirudishia tukirudi.

kwa sababu na mimi sikuwa na pesa yote hiyo,ilibidi akape simu na lak 330,000/TSH ambazo nilimkopesha, nilizokuwa nazo. Kajamaa kukapa hela kakabadilika tena, heti hakataki hela bali kanataka demu wake..!

kakaaza kulia na kudai nimekanyang'anya demu , watu si wakaaza kukashabikia tena heti kanirudishie hizo hela na mimi nikape demu wa kenyewe, kajama kakaaza kumpigia magoti mwanamke akasamehe kama kamemkosea da ilikuwa patashika.,. Yaliisha lakini mi mwenyewe nilioja cha moto kwa kuzomewa na wapiga dembe wa stendi.

Baadaye kukaa naye binti faragha anadai walifahamiana kwa njia ya Facebook. Na ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kutembeleana.

Nilitumia simu yangu kuingi kwenye akaunti yake kamsela kaliweka picha za jamaa wengine kwenye profile.


Weka Video
 
Halafu binti huyo huyo alimtusi "amkome"....

Mtu ulikutana nae kwenye "basi"

Halafu ukakubali kutoa 330,000

Aiseeee ....

Hii hata kale ka jogoo kangu pale nyumbani hakawezi kukubali!
 
Nashindwa kuamini story yako

Umeikopi wapi?
 
Back
Top Bottom