facebook account

facebook account

haya mambo yanatokeaga kwa wasichana tu,mshaibiana mabwana nyie
 
salaam,
jamani naombeni msaada kwani kuna mtu anatumia jina langu kwnye facebook akijifanya ni mimi.sijajua lengo lake bado.sina utaalamu sana na mambo ya facebook je nifanyaje ili asiendelee kuchafua jina langu.nahitaji msaada wenu saana wadau kwani nimekosa amani

Sijaelewa. Kafungua account nyingine halafu kaiita jina lako au hiyo hiyo account yako ndiyo anaitumia kukuchafua? Maelezo hayatoshi
 
Amekula ndefu manake ni uzushi ama kahela kameisha?!!
 
Back
Top Bottom