Mkuu kama kila anaeikosoa serikali apelekwe mahakamani sasa nini maana ya kuwa na vyama vya upinzania Tanzania,siasa ni kurumbana,Zitto kaileta hoja kisiasa serikali inapaswa kuijibu hoja kisiasa....,usitupeleke Zimbabwe MkuuNews Alert: - Serikali yamjibu Zitto Kabwe, yasema anapotosha kuhusu takwimu za pato la Taifa
Baada ya serikali kukanusha taarifa hii ya Zitto, hii I namaanisha Zitto amepika data, na kupika data ni kosa la jinai, hivyo sasa tunaisubiria serikali impandishe kizimbani Mhe. Zitto, malumbano haya yakafungwe rasmi.
Paskali
Afadhali hata wampeleke mahakamani na wavumilie hata kama wakishindwa kumkuta na hatia maana sasa umeibuka umafia wa kutaka kuwaangamiza wakosoaji kwa mitutu ya bunduki kubwa kubwa za kivita baada ya kuwashindwa mahakamani.Baada ya serikali kukanusha taarifa hii ya Zitto, hii I namaanisha Zitto amepika data, na kupika data ni kosa la jinai, hivyo sasa tunaisubiria serikali impandishe kizimbani Mhe. Zitto, malumbano haya yakafungwe rasmi.
Mimi nilielewa ulivyofananisha na kujichanganya kuhusu aliyoyachambua Zitto na kutoa mfano wa kidini, kwamba anakubali baadhi ya data na kuzikataa nyenginezo. Ni wazi hukuelewa kile alichokisema.Sijaelewa hoja yako hii inahusiana vp na nilichoandika na kwahiyo nimeshindwa hata jinsi ya kujibu!!
Wewe ndio hukunielewa!! Hakuna popote niliposema wala kuashiria kwamba Zitto amejichanganya! Nilianza hoja yangu kwa lugha nyepesi kabisa kwamba:Mimi nilielewa ulivyofananisha na kujichanganya kuhusu aliyoyachambua Zitto na kutoa mfano wa kidini, kwamba anakubali baadhi ya data na kuzikataa nyenginezo. Ni wazi hukuelewa kile alichokisema.
Vizuri umekiri kwamba hukuelewa hoja yangu. Ni wazi pia kwamba hukuelewa hoja ya Zitto. Nakushauri uendelee na uamuzi kama huu uliouchukua hapa. Usipoelewa usijibu au omba ufafanuzi. Nakushauri umsikilize Zitto uone kama kulikuwa na ulazima wa kutolea mfano wa ulinganisho wa kidini.
Nimesoma Zitto amekamatwa na Polisi. Hiyo ndio aina ya siri-kali inavyojibu hoja.
Link News Alert: - TEMEKE, DAR: Zitto Kabwe akamatwa na kupelekwa kituo cha Polisi Chang'ombe
Link2. Serikali yamjibu Zitto Kabwe, yasema anapotosha kuhusu takwimu za pato la Taifa
Kwamba, kama hoja ya Zitto ni data zimepikwa basi huwezi kumjibu kwa kutumia data ambazo tayari ana mashaka nazo. Na hapo nikatoa mfano wa ukuaji wa uchumi!Halafu upande wa serikali wala sijaona mtu anaeweza kujibu hoja za Zitto kwa kutumia facts and figures!!!