Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
acha uzushi wewe, si unasema unatafuta mzungu akuzalishe, au ndio mmekubaliana na mume wako
ha ha ha ha ha! Na we mfukunyuku. Lol!
acha uzushi wewe, si unasema unatafuta mzungu akuzalishe, au ndio mmekubaliana na mume wako
ha ha ha ha ha! Na we mfukunyuku. Lol!
kakangu wanawake tunapenda kupendwa na kuambiwa mambo mazuri all the time and most important ni kuwa assured that hatuibiwi nje,so as u said ur a good husband please ongeza MALOVE AND ATTENTION thats it.mi nahisi kuna body language uliionyesha wakati unaongea na huyo kicheche wako wa zamani lakini,kwakua umetuhakikishia uko poa,just concentrate with faithfulness to ur wife and msiliongelee kitu chochote kuhusu huyo ex wako na hata akianzisha mwambie hutaki kuongelea,wivu ni ugonjwa ndugu yangu hayo yote nia mapenzi tu yamemjaa mkeo.usiache kumpenda mkeo!,ghafla nimetamani wewe unaymfanyia mkeo ndo yangekua yanafanywa na blackberry wangu.lucky her
Hivi wachina hawajafanikiwa kututengenezea dawa za kukontrol wivu? ingesaidia ndoa nyingi sana
hehe! mtalaka hatongozwii
acha uzushi wewe, si unasema unatafuta mzungu akuzalishe, au ndio mmekubaliana na mume wako
huyo mama ana matatizo upendo wote huo bado yuko insecure, she behaves like a baby. Just let her know whats the purpose of ur marriage kama haelewi sasa ana tatizo lake binafsi, na watu kama hao hatari she may be insecure hadi naye alipize kisasi kutoka out kumbe wewe walaaa umetulia zako. Sometimes women unawabembeleza hawabembelezeki, ndio maana wanadanganywa sana. ukimwambia ukweli analia bora umwache alie akimaliza siku ziende.
pole sana magulumangu, inaelekea huduma zote uzitoazo
kwa wife haziko natural au umezizidisha sana kiasi wife
anashindwa kuziamini (kuna kalae kamsemo "it is too good to be true"),
hivyo unaonekana unamchezea sinema mkeo. hii ndio sababu ya yeye
kulia wivu na kutojiamini.
Red: Ukiulizwa swali kama hili usije ukajibu kama kuonesha kuwa bado una kumbukumbu na hivyo vitu, unless for "undesirables", So, mjibu hata sikumbuki kama kuna chochote cha maana hata kidogo....Leo katika piata pita zangu nikiwa na mamaaa(mama kubwa) nikagongana na Ex wangu, nikasalimiana nae vizuri tu huku akitabasamu mpaka mamaa akashtuka na kutaka kuondoka akizani ni Nyumba ndogo, nikamtambulisha kuwa yule nilyenaye ni mke wangu na tuna mtoto mmoja, kasheshe ilianza mara baada ya kurudi nyumbani maana nilishagamwambia tangu niachane na ex wangu sijapata kumwona tena na sijui aliko, sasa mke wangu hajiamini kwa sasa akidhani mie nitaanza contact na yule ex wangu ingawa nimemwambia hilo kwangu halipo na wala asiwaze, jamani bibie hajiamini kwa sasa kila kitu anataja jina la ex wangu, kanitega swali moja, je alikuwa anakufanyia nini x wako wakati wa mechi? jamani niko stranded hapa msaada, na mjue huyo ex yuko fiti kila kona ila tabia yake kwangu haikunifurahisha so tukaachana kwa amani tuuu na sio ugomvi, bibie kauliza mliachana vipi? nani alimwacha mwenzake?haamini kweli tuliachana kwa amani, jamani kwa nini wanawake hawajiamini? nampenda mke wangu na hata number ya yule ex sina ila aliniambia anapofanya kazi kama na muda nimtembeleee....
Msaada jamani, preta, first lady na wengineo, wazee wa jukwaa la mapenzi mpoooooooooo....ndoa yangu jamani ni ya gharama sana maana ni mungu tu ndo anaweza tutenganisha kama kiapo chetu...
Mi naona huyo mke kinachomsumbua zaidi ni WIVU, tena naona unakuwa GUBU sasa ambayo sio nzuri kabisa
Mkuu mweleze kuwa anavyo behave hata wewe inakukwaza sasa, ajiamini kwamba upo naye tu huna mwengine!
Leo katika piata pita zangu nikiwa na mamaaa(mama kubwa) nikagongana na Ex wangu, nikasalimiana nae vizuri tu huku akitabasamu mpaka mamaa akashtuka na kutaka kuondoka akizani ni Nyumba ndogo, nikamtambulisha kuwa yule nilyenaye ni mke wangu na tuna mtoto mmoja, kasheshe ilianza mara baada ya kurudi nyumbani maana nilishagamwambia tangu niachane na ex wangu sijapata kumwona tena na sijui aliko, sasa mke wangu hajiamini kwa sasa akidhani mie nitaanza contact na yule ex wangu ingawa nimemwambia hilo kwangu halipo na wala asiwaze, jamani bibie hajiamini kwa sasa kila kitu anataja jina la ex wangu, kanitega swali moja, je alikuwa anakufanyia nini x wako wakati wa mechi? jamani niko stranded hapa msaada, na mjue huyo ex yuko fiti kila kona ila tabia yake kwangu haikunifurahisha so tukaachana kwa amani tuuu na sio ugomvi, bibie kauliza mliachana vipi? nani alimwacha mwenzake?haamini kweli tuliachana kwa amani, jamani kwa nini wanawake hawajiamini? nampenda mke wangu na hata number ya yule ex sina ila aliniambia anapofanya kazi kama na muda nimtembeleee....
Msaada jamani, preta, first lady na wengineo, wazee wa jukwaa la mapenzi mpoooooooooo....ndoa yangu jamani ni ya gharama sana maana ni mungu tu ndo anaweza tutenganisha kama kiapo chetu...