BHULULU JF-Expert Member Jun 28, 2012 4,987 2,009 Jul 23, 2012 #3 Aisee kuna hatari ya kukosa soko, binadamu ana thamani yake, wanunuzi wanaweza wasiwe na amani ingawa si nyama ya binadamu.
Aisee kuna hatari ya kukosa soko, binadamu ana thamani yake, wanunuzi wanaweza wasiwe na amani ingawa si nyama ya binadamu.
mathematics JF-Expert Member Feb 21, 2012 3,323 1,105 Jul 23, 2012 #5 anayepika hizo nyama kwa mtindo huo alikuwa anafikiria nini haswaa?
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Jul 23, 2012 #6 Ni mtu mwenye roho ya kishetani au mchawi ndio anaweza kupata mlo wa namna hiyo na akabaki katika mood ya kawaida vinginevyo.aaaaaaaaaaaaaaaghhhhhhhh.
Ni mtu mwenye roho ya kishetani au mchawi ndio anaweza kupata mlo wa namna hiyo na akabaki katika mood ya kawaida vinginevyo.aaaaaaaaaaaaaaaghhhhhhhh.
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Jul 23, 2012 #7 Mbuzi Mzee said: Click to expand... Hii lazima ni kiti moto
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Jul 23, 2012 #8 Wachina wanajua kutia watu kinyaa! Aaagh!
harakat JF-Expert Member Jul 4, 2011 2,888 1,347 Jul 23, 2012 #9 Potezea mudi ya kufungulia kabisa na patia mimi mood kali ya kufunga siku mbili mfululizo
grafani11 JF-Expert Member May 24, 2011 15,442 5,807 Jul 24, 2012 #11 Mbuzi Mzee said: Click to expand... Wajenzi huru @ work!