Face 2 Face With Freeman Mbowe & James Mbatia!, Wamesema Nini Kuhusu Ushindi?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,443
113,452
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huzurura huku na kule, kwa nafasi yangu ya leo, nikaamua kuzurulia mkoani Arusha, ikatokea tuu kama zali, hoteli niliyofikia, ndio hapo hapo James MBatia alipofikia, na ndio hapo hapo Freeman Mbowe alipofikia, hivyo nimetokea kuzungumza nao wote wawili kila mmoja kwa wakati wake!.

Wa kwanza kuzungumza nae, ni James Mbatia, kwanza nilimweleza kuwa nimetoka kutembelea jimbo lake kule Moshi Vijijini na nimezungumza na wakazi wa eneo la Kirua Vunjo, wenyewe wakilitaja kwa kifupi, KV. Nimemweleza nimeona nini, wamesema nini and what to expect!. Mbatia alisikiliza tuu na yeye akanipa comments zake!.

Ilipokuja zamu ya Mbowe, huyu ndio tulikaa chini kabisa, nikamuuliza ya kwangu, nikatoa maswali yangu, nikajibiwa na tukaendelea na mazungumzo.

Japo mimi ni mwandishi, mazungumzo niliyozungumza na viongozi hawa wawili, yalikuwa ni informal talk, hivyo sio busara krsema hapa niliwauliza nini na walijibu nini na tuliendelea kuzungumzia nini kwa sababu mazungumzo yetu yalikuwa informal, hivyo hata kama mimi ni mwandishi, sio lazima kila ninachokisikia nikiseme.

Kitu kikubwa cha msingi ambacho nimekiobserve kwa wote wawili, wameonyesha ni high hopes for the best, wote wako on their top of the victory spirit, wako very high!.

Kitu kimoja ninaweza kukisema for sure ni kuwa this time is for real hakuna kubahatisha, hii ngoma ni moja kwa moja hadi kule kunako!.

Pia niliwahi kukutana face 2 face na hawa wafuatao;

Face 2 Face With Dr. Wilbroad Slaa.

Face To Face With Mhe. Benard Camilius Membe!

Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100!

Nawatakia Furahi Day Njema.

Pasco
 
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kumuuliza Mbatia na Mbowe kuhusu nani atashinda ategemee kuambiwa Magufuli atashinda?

Unategemea utapata jibu gani kwa mtu aliyeuza nafasi ya ugombea Urais kwa mtu binafsi?

Unategemea utapata jibu gani kwa mtu anayetegemea wananchi wampigie kura nyingi Lowassa ili ruzuku ya chama chake iongezeke.

Unategemea mshenga Mbatia anaweza kukupa jibu linalokinzana na fikra za Lowassa wakati anategemea malipo ya ubunge.

Rais Mkapa hakukosea aliposema Tanzania imejaa waandishi wa habari ambao hawafahamu kwa nini ni waandishi wa habari.

By the way, kulikuwa na umuhimu gani kuelezea sehemu uliyofikia lakini ukashindwa kuelezea msingi na madhumuni ya mazungumzo
 
Pasco nimekushtukia. Wewe ni mganganjaa uliyeamua kujitoa uzalendo. Uko tayari kuuza roho yako kwa bei chee.
 
Pasco wewe ndio aina ya waandishi wanaotakiwa kuwepo kwenye tasnia ya habari. Unajua maadili ya kazi yako na unaongea kile ulichoikia. Nakupongeza sana lakini naomba kupitia kwako utusaidie Tanzania tunayoenda kuibadili tupate pasco wengi zaidi watakaoandika bila kuegemea upande.

Hongera na keep it up!
 
Tumejua umelala hoteli moja na Mbowe,pia Mbati(wenyeviti wenza wa UKAWA). Ungewatafuta Anna(ACT Wazalendo) na Hashim Rungwe,kama watashindwa au watashinda.
Weka picha mlivyokuwa mnaongea au risiti ya hoteli.
 
huyu jamaa sometimes huwa anajitoa ufahamu kisa lowasa!do you think lowasa will leapfrog the competition?wengine tumeamua kukaa kimya maana rais wa nchi tumeshamfahamu.
 
Chadema imeshauzwa...

Ni mwendelezo wa kambi ya mgombea wa CCM, asiye na ugomvi na chama bali uchu wa madaraka...

Chadema mwaka huu haina mgombea, isubiri 2025 labda...
 
Ccm bring back our Twigas and Tembos, Pasco hoyeee,Kifimbo hoyeeee,Maji hoyeee,nivue shatiiii nisivueeee??Hivi Makongoro yupo wapi ??.CCM OUT
 
Last edited by a moderator:
Rais Mkapa hakukosea aliposema Tanzania imejaa waandishi wa habari ambao hawafahamu kwa nini ni waandishi wa habari.

By the way, kulikuwa na umuhimu gani kuelezea sehemu uliyofikia lakini ukashindwa kuelezea msingi na madhumuni ya mazungumzo
Mkuu MsemajiUkweli, japo Mkapa was a bit right!, lakini ni wakati wa utawala wake, ndio kipindi hicho na mimi I was on top of my carrier!, na kwa kukusaidia tuu, ile siku amefanya interview yake ya kwanza CNN, pale Atlanta, I was there!, ile siku anahojiwa na Tim Sebastion kwenye Hard Talk, I was there!, siku analihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa pale New York, I was there!, na kwenye Press Conference yake hapo UN nilihudhuria na ilipofika kipindi cha maswali, Press Sec wake akaniuliza kwa lunga ya Kiswahili, "vipi wewe Pasco, mbona humuulizi rais wako maswali?!, au lugha?!, nikamjibu, mimi ni Mtanzania, sina sababu ya kusubiri mpaka safari ya New York ndipo nimuulize rais wangu maswali!, kama mna nia ya dhati ya rais wetu tumuulize maswali, then, tukisharejea home, mpangieni Press Conferences kama hizi za New York!.

Mpaka Mkapa anamaliza term yake, hakuwahi kufanya an open press conference in Tanzania!, wala kufanya mahojiano yoypte ya one on one na media yoyote ya Tanzania!, kwake waandishi ni wazungu, na media ni BBC na CNN tuu!, haya ni madharau ya hali ya juu!, ila imekuwa ni kawaida ya mtu kudharau chako na kuthamini cha mwenzio!.

JK alipoingia angalau alifanya stagged open press conference ila wauliza maswali waliandaliwa kabla na kupeleka maswali kabla, halafu mchaguaji wauliza maswali, alipanga atawachagua nani, watakao uliza maswali, wao wanayoyapenda!, to me that was a press conference show!, kule New York rais wa nchi unakuja bila kumjua mwandishi yoyote na bila kujua swali lolote, hivyo waandishi tulikuwa free kuuliza swali lolote, na bahati nzuri, baadhi yetu, tunajulikana type ya maswali yetu, hivyo tukionekana tuu alipo rais, tunafanyiwa ile kitu inaitwa "weka mbali na rais!"

Japo sasa nimestaafu news room siku nyingi, lakini mara moja moja, huendelea kufanya kazi za uandishi.
Siku hizi, rais wetu akiwa popote, waandishi wote wataohusika huorotheshwa na 'wale jamaa zetu', hukabidhi vitambulisho vyao, na kupewa badge za Ikulu ndipo huruhusiwa kuwepo!.

Juzi juzi tuu mwezi wa Nane, kwenye kilele cha Nane Nane Lindi, mimi kama mdau wa nane nane, nilikuwepo na wakati rais anahutubia nikajisogeza na mimi nimrekodi!, mara akaibuka 'jamaa' wa Ikulu kuniuliza wapi badge yangu?. Nikasema sina!, then akanifukuza mahali hapo kama mbwa!, kiukweli nilimgomea!, nikamwambia labda aniitie polisi wanibebe mzobe mzobe!, nilimwambia lengo la hao 'jamaa' kuratibu waandishi ni fo security reasons, mimi nimefanya reporting for 25 years now, leo ndio nimegeuka 'security threat?!', jama akashindwa kuniitia polisi maana kamera yangu ndio ilikuwa front!, akanionya kuwa rais akimaliza kuhutubia na kuanza kutembelea mabanda, nisionekane anywhere near!, nikakubali!. Nikaangalia list ua mabanda yatakatombelewa na rais, nikajiposition mahali strategic, rais alipofika mahali nilipo, nikamuibulia mic, rais mwenyewe akaingia kingi on one on one interview na mimi!, and I was yje only one nilipata one on one!, waandishi wengine wote waliripoti hituba tuu!, hivyo sio kuwa ninajitapa, bali enzi zangu, I was one of the best!, kuna viongozi walikuwa wakisikia watahojiwa na mimi, walikuwa wanakimbia!.

Hili la Mbowe na Mbatia ni hotelini, hoteli ni private location hivyo mazungumzo yoyote bila appointment tunayachukulia ni private hivyo tunayatreat kama 'off the record' ili kuwapatia wazungumzaji, kinga ya 'right to privacy!'.

Pasco




 
Pasco leo umechemka bro, kama mazungumzo yako na hao uliokutana nao ni siri basi hukuwa na sababu ya kutuletea habari kama hii. Wewe umetoa hitimisho la mazangumzo yenu lakini husemi mlichoongea au majibu ya maswali uliowauliza!! Hujautendea haki uzi wako.
 
Tumejua umelala hoteli moja na Mbowe,pia Mbati(wenyeviti wenza wa UKAWA). Ungewatafuta Anna(ACT Wazalendo) na Hashim Rungwe,kama watashindwa au watashinda.
Weka picha mlivyokuwa mnaongea au risiti ya hoteli.
Mkuu sijasema tumelala hoteli moja Mbowe na Mbatia, bali tumefia hoteli moja!, kufikia hoteli moja ni jambo moja na kulala hoteli moja ni jambo jingine!.

Kwenye team za kampeni, wanachagua hoteli moja na kuifanya ndio mark hotel yao hivyo kuifanya kama kiji command post, wahusika wote wakuu wa team hiyo, watafika hapo na sio lazima kufikia hapo!, na wako watakaofikia hapo na sio lazima walela hapo!.

Kukutana na Mbowe na Mbatia was by chance tuu, kama Zali, siku nikukutana na Anna na Hashim, nao nitazungumza nao na kuposti humu!.

Jina la hoteli sikulitaja kwa kuheshimu 'the right to privacy', hilo la kuweka picha tulivyokuwa tukizungumza nalo neno!, jee kwenye thread yoyote ya Pasco wa jf, umeisha wahi kuona nikiweka mapicha?!.
Hiyo risiti ya hoteli ya waitafutiani?!, ya nini?, au ni ili kujua bei ya room?!, naweza kukutajia tuu, room ni 20,000 per night!, vipi umeridhika?!.

Pasco
 
Pasco subiri usifiwe, credit comes from the masses. Ego yako iko juu mno na inakupa upofu. Hii umechemka bro. Kuwa humble kama kaka yako Dereck. No wonder umepotezwa kwenye tasnia.
 
Last edited by a moderator:
Pasco kasema yake sasa mapovu ya nini? Jiwe limewapata barabara, mwaugulia maumivu
 
Pascoo subiri usifiwe, credit comes from the masses. Ego yako iko juu mno na inakupa upofu. Hii umechemka bro. Kuwa humble kama kaka yako Dereck. No wonder umepotezwa kwenye tasnia.

Mzee Mkapa akisema nyie malofa mnalalama kawatusi ,! Miaka 25 ya uandishi unakuja na reporting hata motto wa primary hakuelewi, maskini nchi yangu tuna kizazi cha aina gani ?
 
Mkuu MsemajiUkweli, japo Mkapa was a bit right!, lakini ni wakati wa utawala wake, ndio kipindi hicho na mimi I was on top of my carrier!, na kwa kukusaidia tuu, ile siku amefanya interview yake ya kwanza CNN, pale Atlanta, I was there!, ile siku anahojiwa na Tim Sebastion kwenye Hard Talk, I was there!, siku analihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa pale New York, I was there!, na kwenye Press Conference yake hapo UN nilihudhuria na ilipofika kipindi cha maswali, Press Sec wake akaniuliza kwa lunga ya Kiswahili, "vipi wewe Pasco, mbona humuulizi rais wako maswali?!, au lugha?!, nikamjibu, mimi ni Mtanzania, sina sababu ya kusubiri mpaka safari ya New York ndipo nimuulize rais wangu maswali!, kama mna nia ya dhati ya rais wetu tumuulize maswali, then, tukisharejea home, mpangieni Press Conferences kama hizi za New York!.

Mpaka Mkapa anamaliza term yake, hakuwahi kufanya an open press conference in Tanzania!, wala kufanya mahojiano yoypte ya one on one na media yoyote ya Tanzania!, kwake waandishi ni wazungu, na media ni BBC na CNN tuu!, haya ni madharau ya hali ya juu!, ila imekuwa ni kawaida ya mtu kudharau chako na kuthamini cha mwenzio!.

JK alipoingia angalau alifanya stagged open press conference ila wauliza maswali waliandaliwa kabla na kupeleka maswali kabla, halafu mchaguaji wauliza maswali, alipanga atawachagua nani, watakao uliza maswali, wao wanayoyapenda!, to me that was a press conference show!, kule New York rais wa nchi unakuja bila kumjua mwandishi yoyote na bila kujua swali lolote, hivyo waandishi tulikuwa free kuuliza swali lolote, na bahati nzuri, baadhi yetu, tunajulikana type ya maswali yetu, hivyo tukionekana tuu alipo rais, tunafanyiwa ile kitu inaitwa "weka mbali na rais!"

Japo sasa nimestaafu news room siku nyingi, lakini mara moja moja, huendelea kufanya kazi za uandishi.
Siku hizi, rais wetu akiwa popote, waandishi wote wataohusika huorotheshwa na 'wale jamaa zetu', hukabidhi vitambulisho vyao, na kupewa badge za Ikulu ndipo huruhusiwa kuwepo!.

Juzi juzi tuu mwezi wa Nane, kwenye kilele cha Nane Nane Lindi, mimi kama mdau wa nane nane, nilikuwepo na wakati rais anahutubia nikajisogeza na mimi nimrekodi!, mara akaibuka 'jamaa' wa Ikulu kuniuliza wapi badge yangu?. Nikasema sina!, then akanifukuza mahali hapo kama mbwa!, kiukweli nilimgomea!, nikamwambia labda aniitie polisi wanibebe mzobe mzobe!, nilimwambia lengo la hao 'jamaa' kuratibu waandishi ni fo security reasons, mimi nimefanya reporting for 25 years now, leo ndio nimegeuka 'security threat?!', jama akashindwa kuniitia polisi maana kamera yangu ndio ilikuwa front!, akanionya kuwa rais akimaliza kuhutubia na kuanza kutembelea mabanda, nisionekane anywhere near!, nikakubali!. Nikaangalia list ua mabanda yatakatombelewa na rais, nikajiposition mahali strategic, rais alipofika mahali nilipo, nikamuibulia mic, rais mwenyewe akaingia kingi on one on one interview na mimi!, and I was yje only one nilipata one on one!, waandishi wengine wote waliripoti hituba tuu!, hivyo sio kuwa ninajitapa, bali enzi zangu, I was one of the best!, kuna viongozi walikuwa wakisikia watahojiwa na mimi, walikuwa wanakimbia!.

Hili la Mbowe na Mbatia ni hotelini, hoteli ni private location hivyo mazungumzo yoyote bila appointment tunayachukulia ni private hivyo tunayatreat kama 'off the record' ili kuwapatia wazungumzaji, kinga ya 'right to privacy!'.

Pasco





Pasco katika ubora wake,naweza kili kuwa pindi unapoandikaga ukweli toka sakafu ya moyo wako huwa unaandika kitu cha kugusa hasa na ambacho hulazimishagi mtu aelewe au akuamini bali hunukia ukweli na kuonekana dhahiri!!

Ukiacha wakina Stan Katabaro,Jabir Idrissa na baathi ya wachache kama Edson Kamukara(R.I.P), Pasco ni bright sana japo sia shujaa wa ukweli,yaani wewe huwa unaandika ukweli nusu nusu pengine kwa kuogopa vitisho na umafia au ili kutupa kama kaumbeya kwa kutuuma sikio!!!

All in all nakuheshimu Mkuu kwa kuwa na exposure kuubwaa!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom