Baba Mkubwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 793
- 58
Jana tulishinda 6 kwa 5.....Maoungufu ya Arsenal yapo, hilo hata AW analitambuwa....lakini ubovu wetu haunifany ni conclude we are not better than Chelsea...kwa kweli mwaka huu HAMTUPITI NG'OOO...Kwa mechi mlizocheza pre season, hapana mkuu.....Bora wewe unaona ukweli ulivyo, sio Baba Mkubwa anajaribu kutudanganya mchana kweupe kwamba Arsenal is the best team!!