Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,199
Wakuu nimeona bora niweke hii thread kwa wadau wenzangu kama mimi ambao nimemiss sana ligi tuweze kudiscuss mechi hii ya kugombea ngao pamoja huku inaendelea.
Full Kikosi kwa mashetani na Ze blues..Mpira mzuri ngoja tuone nani ataanza vyema msimu huu
Duh ilikuwa hatari langoni kwa mashetani kazi nzuri kwa vander sar
Ndio hivyo Ligi imeanza hiyo..naona kuna nukia goli huku chelsea..jana naona Jose kaanza vibaya kule spainkweli kabisa mkuu yani hapa najiona kama ligi ishaanza.mpira mzuri yaap.
Ndio hivyo Ligi imeanza hiyo..naona kuna nukia goli huku chelsea..jana naona Jose kaanza vibaya kule spain
Game ni nzuri so far...Naona Essien yuko fit sana leo
...Naona Essien yuko fit sana leo
Game ni nzuri so far...Naona Essien yuko fit sana leo
Yeah, Essien ndio mchezaji aliyeko kwenye form kwa sasa kwa upande wa Chelsea. It's nice to have him back.
Duuh! Huyu Terry anakaba kama beki za Arsenal?!! Kazi tunayo msimu huu:disapointed:
Huh HuhDuuh! Huyu Terry anakaba kama beki za Arsenal?!! Kazi tunayo msimu huu:disapointed: