Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
- Thread starter
- #41
DUUUUH pole sana invisible na kipa wako.
Ovyo kabisaa! Ni boya tu hahahahaDUUUUH pole sana invisible na kipa wako.
mhhhhh ngao imeondoka! Hongereni Man Utd!
mhhhhh ngao imeondoka! Hongereni Man Utd!
Prof hiyo habari njema!..Chelsea wamechokaa, hureee!!........ BelindaJacob
Acha kuwa kituko mkuu, inakuwaje unasema Arsenal best team wakati huohuo unasema inahitaji deffenders na kipa, sasa best team gani ambayo haijakamilika?!
Ahsante Rev.Masanilo, ushindi wangu ni ushindi wako!..ha ha
B'mkubwa wewe uko dajarani?au Gunn? Watu pipooo,Man Juu!!
...ha ha, haya basi. Hongereni sana japo mnh, Chelsea ni misiba mfululizo!
Unakumbuka kipindi kile niliku ban, kwenye UEFA?.....mimi ni Arsenal.....
B'mkubwa wewe uko dajarani?au Gunn? Watu pipooo,Man Juu!!
Ahsante Rev.Masanilo, ushindi wangu ni ushindi wako!..ha ha
aah kumbe arsenal leo mmetushangilia Man U,kweli maajabu!..ha ha
nimekumbuka ile mechi, lol!..bado nyie ELP ikianza, mpewe vichapoo..he he he
Hongera Manure kwa kushinda ngao ya hisani. The meanigful business start next weekend.
tupo mrembo.....tujipongezee.........man utd oyeeeeeeeeee