Jaxx
Senior Member
- Mar 22, 2011
- 129
- 28
Wenje akichangia bungeni leo amesema afadhali alale Selo(Polisi) kuliko kukaa kimya huku nchi ikiliwa na wakubwa, Na kasema haoni kwanini traffic police akomaliwe kwa Tshs 20,000 wakati wakubwa wanakula mabilion,Ameonekana akirudia rudia sana kuapa kuwa HAKI YA MAMA.Mwisho kwapongeza Wabunge wote wa Upinzania waliolala Selo kuwa ni kitendo cha Ujasili maana '' FREEDOM IS COMING TOMORROW''