Eye challenge

Eye challenge

sura ya mwanamke mwiliwa paka ni nywele jicho ni panya mdomo pilipili pua mguu wa paka
 
Daby ilikuwa lazima uone mrembo hata asingekuwepo ungemchora

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kubadili majina ndiyo siri kwasasa....jina lako linatamkwaje?
Hivyo hivyo kama lilivyoandikwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera... Lady mishil.

Sema khantwe zuri zaidi.
Kweli eeh? Ngoja bado naendelea kukusanya maoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila bado umri unaruhusu...kama una 31 kwasasa baki na hili hadi 33 kisha utatafuta la uzeeni.

Au bwana mpya jina mpya?
acha fujo, hili ndio la uzee sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina fujo zilishaisha siku nyingi.

Nilikuwa namtafuta khantwe nilimmiss..kumbe kashabadilishwa.
Teh eti ulinimiss na ulinikimbia majuzi kwenye ule uzi kisa umetajiwa heka

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi upi tena?
Nimesahau ilikuwa unahusiana na nini

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitajiwa heka na nani?...sikumbuki nimezeeka mama huoni hata utamu umeniisha.
Ulitajiwa na mimi. Utamu wako tunaujua watumiaji usitusemee

Sent using Jamii Forums mobile app
Oouh hela...sasa mbona unaandika heka?..au ndiyo neno hela linakufanya hadi utetemeke

Haha..nimekumbuka.
Nimeelewa na nimekumbuka ni wapi...ulale sasa kumekuwa usiku.
Haya usiku mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe pia... ukumbatie huo mtoa vizuri. Tehteh
Hahahaha, nimependa haya maongezi

MTC | 101|
 
Back
Top Bottom