EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,701
- Thread starter
- #21
Teh eti ulinimiss na ulinikimbia majuzi kwenye ule uzi kisa umetajiwa hekaSina fujo zilishaisha siku nyingi.
Nilikuwa namtafuta khantwe nilimmiss..kumbe kashabadilishwa.
Mimi na wewe tulishaufunga huu mjadala wa avatar ila mbona bado unaendelea kunitafuta maneno?
Uzi upi tena?Teh eti ulinimiss na ulinikimbia majuzi kwenye ule uzi kisa umetajiwa heka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitajiwa heka na nani?...sikumbuki nimezeeka mama huoni hata utamu umeniisha.
Ulitajiwa na mimi. Utamu wako tunaujua watumiaji usitusemeeNilitajiwa heka na nani?...sikumbuki nimezeeka mama huoni hata utamu umeniisha.
Oouh hela...sasa mbona unaandika heka?..au ndiyo neno hela linakufanya hadi utetemeke
Oouh hela...sasa mbona unaandika heka?..au ndiyo neno hela linakufanya hadi utetemeke
Haha..nimekumbuka.


kumbe nimechapia loh, lakini umeelewaNimeelewa na nimekumbuka ni wapi...ulale sasa kumekuwa usiku.
Haya usiku mwemaNimeelewa na nimekumbuka ni wapi...ulale sasa kumekuwa usiku.
Nawe pia... ukumbatie huo mtoa vizuri. Tehteh
Mambo VP yna


Mimi na wewe tulishaufunga huu mjadala wa avatar ila mbona bado unaendelea kunitafuta maneno?
Sent using Jamii Forums mobile app