External yangu imekataa kusoma ghafla: MSAADA

External yangu imekataa kusoma ghafla: MSAADA

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
Wadau,
External yangu ya Toshiba (500GB) ilikuwa inafunction vizuri tu kama kawaida, leo baada ya kuichomoa na kuiweka kwenye Port ikawa haisomi hadi saivi, nimegoogle nikaambulia ujumbe wa ku uninstall na kuinstall tena driver za USB2.0-CRW lakini hamna ufumbuzi. Nikiweka flash inasoma, ila hii External inaishia kuwaka taa tu kama kawaida yake lakini kwenye Computer haionekani? Msaada tafadhali.
 
Back
Top Bottom