Shukrani Mkuunenda machinga complex, au mtaa wa uhuru na msimbazi hadi uhuru na swahili, bei haizidi 30,000 kama una desktop (pcie) na hadi 50,000 kwa za usb
speed ya nini mkuu? na full screen si unaeka mwenyewe tu kuna ambazo sio full screen?Shukrani Mkuu
Je, Hizo Za Desktop Zinatofautiana Ubora? Nahitaji Itakayoweza Kuonyesha Full Screen Na Iwe Na Spidi Nzuri.
Thanx Mkuuspeed ya nini mkuu? na full screen si unaeka mwenyewe tu kuna ambazo sio full screen?
ubora ni kiingizio chako kama una decoder ambayo sio HD usitegemee kupata quality nzuri.
ubora mwengine ni build quality tu, ila nahisi vyote ni vya kichina, vitu bora huwezi vipata kwa bei rahisi hivyo