External HDD inakuwa nzito nikiiijazia mzigo

mkalisniper

Member
Feb 18, 2017
20
5
ebfbbacabdffc1cc88b336b4326af4b2.jpg

Jamani msaada nina external yangu GB 160 lakini nikiiwekea mzigo mkubwa unakuwa nzito na nikitaka ku play hata video ina load mpaka kesho ila nikiweka mzigo wa GB ndogo Kama GB 10 ndio inakubali ila nikizidisha tu inakuwa kama awali
Nisaidieni nifanyeje
 
Ingekuwa mpya ningekushauri lakin kwa hali hyo kanunue tu nyingine.
Hilo ni cover tu nimevalisha yenyewe niliitoa kwenye laptop nilinunua ilikuwa haiwaki nikatoa Hdd ila hilo cover ni lazamani kidogo ndio nimevalisha
 
hapo ukiwa na mafile madogo unaplay kitu gani na ukiwa na mafile makubwa unaplay nini? na unaplay kwenye nini? pc au vifaa kama deki?

pia umejaribu kuipima speed ikiwa na mafile kidogo na mengi?
 
hapo ukiwa na mafile madogo unaplay kitu gani na ukiwa na mafile makubwa unaplay nini? na unaplay kwenye nini? pc au vifaa kama deki?
pia umejaribu kuipima speed ikiwa na mafile kidogo na mengi?
msaada chief juu ya kuondoa write protection kwenye external hdd ya GB 500
Capture.PNG
 
hapo ukiwa na mafile madogo unaplay kitu gani na ukiwa na mafile makubwa unaplay nini? na unaplay kwenye nini? pc au vifaa kama deki?

pia umejaribu kuipima speed ikiwa na mafile kidogo na mengi?
Naitumia kwenye pc yaani nikiweka kwa mfano niweke labda file la movie lenye ukubwa wa GB 30 linaingia lakini nikisema nilifungue ili ni watch movie niki double click ili niangalie inagoma yaani file Lina load mwaka
 
Naitumia kwenye pc yaani nikiweka kwa mfano niweke labda file la movie lenye ukubwa wa GB 30 linaingia lakini nikisema nilifungue ili ni watch movie niki double click ili niangalie inagoma yaani file Lina load mwaka
File moja la movie lina 30 GB? Hiyo cover yako nina wasiwasi ni USB 1 ambayo ina spidi ndogo sana.
 
msaada chief juu ya kuondoa write protection kwenye external hdd ya GB 500
View attachment 474648
write protection aisee ni kuijaribu tu, hakuna solution ya moja kwa moja

jaribu kutumia tools za kuformat ambazo sio windows kama ubuntu, linux mint etc

pia unaweza tumia software ambazo ni bootable kama vile mini tool partition wizard unaweka kwenye flash unaboot nayo then unatumia kucheza nayo hio hdd,
 
Sasa nifanye Aje
angalia cover lako kama utapata clue ni usb ipi, pia tumia pc kuhamisha file kubwa toka pc hadi hdd halafu angalia speed ni mb ngap kwa sekunde.

pia jaribu kuplay mafile madogo madogo uone kama bado inasumbua mfano video ya mb 50 etc
 
angalia cover lako kama utapata clue ni usb ipi, pia tumia pc kuhamisha file kubwa toka pc hadi hdd halafu angalia speed ni mb ngap kwa sekunde.

pia jaribu kuplay mafile madogo madogo uone kama bado inasumbua mfano video ya mb 50 etc
Shukrani nimeweza nimebadili cover sasa iko poa
 
Back
Top Bottom