Mama Dunia, Imekua kama coincidence aisee maana hata mm nimekua nikitafuta hizi details za kuexport matunda kutoka tanzania kuja nchi za kiarabu bila mafanikio.Ninaishi Uarabuni(Bahrain), na huku kama ujuavyo hawana ardhi ya kusema watalima so kila kitu kinatoka nje.Kwa inshu ya matunda mengi yanatoka kenya na South Africa.Nilianza na kutembelea supplier portal za big suppermarkest kama hii ya Carrefour [
http://supplier.carrefour.in:8080/webportal/supplierPortal.do] ili kujua masharti yao.Maana inatakiwa uwe registered as their official supplier na kuna documents zinatakiwa kama vile Business license, Sales Tax/VAT registration certificates, PAN card etc
Then unatakiwa uwe familiar na local Import Regulations & Standards esp for organic foods and things like packaging etc.Hii ni website for different countries for your reference [
http://agriexchange.apeda.gov.in/IR_Standards/Import_Regulation.aspx]
But nilichokiona ni kigumu zaidi ni nyumbani tanzania kupata all required paper works ikiwa ni pamoja na ubora wa hayo matunda.
Niliwahi kutembelea baadhi ya sites za exporters wa kenya wanaonekana wamejipanga vizuri, wana mashamba makubwa na wana vyeti vya ubora kutoka institutions tofauti tofauti (nyingi zenye uhusiano na mambo ya afya)which make make to be qualified.
I'm sure pia hata tanzania mashamba makubwa yapo na wapo exporters ambao wameshafanya na wanafanya hii kitu b efore so ni atleast kuwapata ili watoe mwangaza wa how things should be done maana there is a huge market in Arab/Gulf States.
kwa upande wangu, I'm trying to find an kenyan or southafrican who has been doing this esp here in Bahrain to learn more then i'll share with you more info. In the meantime na wewe kazana kupata more details from different sources.
ukihitaji mawasiliano yangu unaweza ukani-email through
gegk61@gmail.com
Regards.