.womens are like wine,the older,the better....
Boss inaelekea unapenda aged women. If I may ask, in which age group are you? Maana wanaume wengi wanapenda dogo dogo; lakini wewe yaelekea wapenda 40s - 50s (probably 60s).
.
Sio kweli, 28 anapigwa na majukumu gani mazito hivyo mpaka awe choka mbaya? Huo utafiti wako una walakini, rudi ukaanze upya mazee!Kusoma ni sehemu ya maisha. Ninachomaanisha ni kuwa ukiangalia mwanaume na mwanamke wa umri sawa, at 28 mwanaume ndo anaanza kuenjoy maisha wakati mwanamke ndo anaanza kupigwa na majukumu ya kaisha...
Expiry date ya mtu ni mtu mwenyewe anavyoyachukulia maisha wala usitishwe na huu utafiti! Kama ni hivyo mbona tutaeksipaya wengi?..lol.. Unaeza kutana na mwanamke ana 40yrz na bado wamo, na mwingine 25 choka mbaya kabisa.. Eksipaya inaletwa na mtu mwenyewe sio umri bana!kama kuna ukweli ndani ya haya maneno,basi balaaa yaani karibia napata expiry date???na wakati sijayala maisha bado vizuri???hii kareeee
[B said:Mwendawazimu2;[/B]2570396]On average;
Muda wa kupendeza na kuenjoy maisha 20-28 yrs
Above 28 year, choka mbaya..
kama kuna ukweli ndani ya haya maneno,basi balaaa yaani karibia napata expiry date???na wakati sijayala maisha bado vizuri???hii kareeee
Kwa uzoefu gani wa maisha unakuwa nao at 28 hadi uone sasa umefika? at that age unakuwa umepitia mangapi hadi uone imetoshea? at 28 unakuwa kweli umekwisha jua raha ya kuzaa,ukalea ,mtoto akakuita mama/baba akakua,ukafurahia graduation yake,ukafurahia harusi yake,akakuletea kajuukuu ukakakumbatia ukakaangalia sura machozi yakakulenga maana kanakukumbusha mwanao siku ya kwanza mlipotoka maternity,at 28 ushapitia yote haya? At 28 how many joys and sorrows unakuwa umepitia maishani mwako? Au kwenda runway,maisha club,bilicanas na mbalamwezi ndo ku enjoy maisha? Think about it,to be choka mbaya au not choka mbaya is just an attitude of mind na wala sio umri,you can be very choka mbaya at 25 and be at the maximum enjoyment at 80,it is all about attitude!
On average;
Muda wa kupendeza na kuenjoy maisha 20-28 yrs
Above 28 year, choka mbaya..
On average;
Muda wa kupendeza na kuenjoy maisha 20-28 yrs
Above 28 year, choka mbaya..
Bishanga huelewi maana ya "choka mbaya" hujaelewa na maana ya "avarage",kuchoka haimaanishi
mepitia mambo mengi kiasi kipi, kibongobongo most of girls katika miaka hiyo huwa ni choka mbaya,time hizo upande wa titiz tayari zishapigwa jeki sana n.k,utatetea sana hoja yako but ukweli ndo huo