andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,236
- 121,199
Shwaini zako [emoji16][emoji16]Kwanza nikikiona tu stimu zinakata [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shwaini zako [emoji16][emoji16]Kwanza nikikiona tu stimu zinakata [emoji23]
Hahah ankooo....have a nice Sunday
Eeh, Okonkwo umeanza kutuchocha (Ah zii...unataka vijana wetu wawakurupukie mama zao eeh?!!.
Hivi nyie mkienda kwa hao majimama sie wa size zenu twende wapi?
Mbona ipo wazi kabisa babu Anko, wababa nao wanataka wasichana wabichi ili wapate mbwembwe za mahaba...
Kwenye hesabu formula hii inaitwa "krosi matiplikesheni"
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri wa jioni "according to wana JF
Exactly
.....mkuu 😀😀😀
😍😍